• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Dhamira ya Serikali ya awamu ya sita ni kujenga uchumi shindani wa viwanda .

Tarehe iliyowekwa: October 28th, 2023

Na. Lina Sanga

Tamko hilo limetolewa leo na Makamu wa Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mhe. Dkt Philip Mpango katika kilele cha    maonesho ya nne ya Shirika la kuhudumia Vidogo (SIDO) Kitaifa ambayo kwa mwaka huu yamefanyika Mkoani Njombe.

Amesema kuwa,dhamira hiyo ya Serikali ina lengo la kuifikisha nchi kuwa nchi yenye kipato cha kati cha juu na mpango wa taifa wa maendeleo ya miaka mitano unaotekelezwa hivi sasa ,unaitaka Serikali kukuza mchango wa viwanda katika pato la taifa na ajira zinazotokana na viwanda,ambapo kwa sasa mchango wa viwanda katika pato la taifa ni asilimia 7.1 na matarajio ni kufikia asilimia 9 ifikapo mwaka 2025/2026.

Ameongeza kuwa,kupitia maonesho ya SIDO masuala mbalimbali yanayoathiri maendeleo ya viwanda vidogo yanaibuliwa ,ikiwa ni pamoja na suala la  uwezo mdogo wa kuzalisha kwa wingi teknolojia mbalimbali zinazobuniwa  na kusababisha  kasi ndogo ya kuenea kwa teknolojia hizo, kutokana na gharama za upatikanaji wake  na kuathiri maendeleo ya viwanda kwani wananchi wanashindwa kumudu gharama hizo.

Amesema ili kusambaza matumizi ya teknolojia katika uchakataji na kuongeza thamani ya mazao ni lazima kuhakikisha gharama za teknolojia,mitambo na mashine zinazozalishwa zinakuwa nafuu hivyo SIDO na taasisi zinazohusika na maendeleo ya viwanda vidogo na ubunifu kama chuo cha teknolojia Mbeya na Dar es salaam na sekta binafsi kujikita katika  uzalishaji wa teknolojia rahisi zenye ubora na gharama nafuu.

Aidha,ametoa rai kwa SIDO na taasisi zingine zilizopo katika tasnia ya viwanda vidogo kubuni na kuhamasisha uzalishaji wa vifungashio bora vyenye viwango k,wa kutumia teknojia rahisi ili kuongeza thamani ya bidhaa za mazao ,kwani bidhaa nyingi zinakosa ubora na ushindani katika masoko kwa kutofungashwa vizuri.

Pia amesema kuwa,Serikali inatambua uwepo wa changamoto ya kupata mitaji kwa ajili ya kuanzisha na kuendeleza viwanda vidogo,  hivyo  taasisi za fedha zina nafasi ya kuweka masharti ya mikopo ya upendeleo kwa viwanda vidogo na kati ili kukuza uzalishaji na kuipongeza benki ya CRDB kwa kutoa mikopo kwa riba ya asilimia 9 kutoka asilimia 18 kwa viwanda vya uchakataji wa mazao kutoka.

Amelitaka Shirika la viwango Tanzania  (TBS) kufanya jitihada zaidi kuwafikia na kuwasaidia wajasiriamali wadogo kupata uthibitisho wa ubora wa bidhaa zao kwa gharama nafuu na kuitaka SIDO kujiendesha kibiashara.

 


Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa