• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Elimu ya Kelele chafuzi yatolewa kwa wadau wa mazingira Halmashauri ya Mji Makambako

Tarehe iliyowekwa: December 13th, 2023

Na. Lina Sanga

Wadau wa shughuli zinazozalisha kelele katika Halmashauri ya Mji Makambako, leo wamepewa elimu ya namna bora ya kuzuia uchafuzi wa mazingira ,kwa kutumia vifaa maalumu vya kuweka uwiano wa sauti kulingana na wakati husika.

Akifungua kikao hicho , Bw. Daniel Ngalupela Afisa maliasili na Mazingira wa Halmashauri ya Mji Makambako amesema kuwa ,lengo kuu la kikao hicho ni kutoa elimu ya namna bora ya kudhibiti kelele chafuzi,ambazo zinazalishwa na  baadhi ya watu kwa kutokujua viwango vya sauti vinavyokubalika kulingana na muda husika,ukaribu wa makazi ya watu,hospitali na shule.

Gift Kiwia,Afisa Mazingira wa Halmashauri ya Mji Makambako amesema kuwa viwango vya sauti vinapimwa kwa kutumia vifaa maalum vya kupimia sauti,ambapo mchana sauti inatakiwa kuwa dba 60 na dba 40 usiku kwenye makazi ya watu na maeneo ya biashara dba mchana 75 na usiku dba 50,maeneo ya viwanda ni dba 85 mchana na usiku dba 65.

Ameyataja madhara ya uchafuzi wa mazingira kwa mitetemo ya sauti kuwa ni pamoja na kusababisha msongo wa mawazo, kuongezeka kwa msukumo wa damu,kuharibu maongezi au hotuba,kusababisha ukiziwi,watu kushindwa kupumzika vizuri na kuathiri umakini wa utendaji kazi.

Naye Katibu wa jimbo la T.A.G Njombe kaskazini, Mchungaji Mbaraka Njiuka, amesema kuwa ipo haja kwa Serikali kuendele kutoa elimu ya kelele chafuzi katika taasisi za dini,kwani taasisi hizo zina namna tofauti za kuabudu kulingana na maandiko ya imani zao na Katiba ya Nchi inaruhusu Uhuru wa kuabudu ambao kwa namna yoyote uzalishaji wa kelele hutokea.

Wametoa rai kwa Serikali   kusaidia  upatikanaji wa vifaa vya kudhibiti sauti za muziki,ili kila mdau ambaye anafanya shughuli zinazozalisha mitetemo ya sauti na kila mdau aweze kununua kwa bei rafiki wakati wowote.

Kikao hicho kimewahusisha viongozi wa dini, wauza cd na madj wanaosherehesha kwenye shughuli  mbalimbali.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa