• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Familia na Jamii ni kikwazo cha kutokomeza ukatili na unyanyasaji wa wanawake na watoto

Tarehe iliyowekwa: August 19th, 2022

Na. Lina Sanga

Familia na jamii zimeelezwa kuwa ni kikwazo cha wana ndoa wengi kuendelea na kesi za unyanyasaji wa kijinsia,na matukio ya ukatili unaofanyika ndani ya familia dhidi ya wanawake na watoto pindi zinapofikishwa Mahakamani kwa kuhofia kutengwa.

Hayo yamebainishwa na James Maroda,Hakimu Mkazi katika Mahakama ya Mwanzo Makambako,katika kikao cha MTAKUWA kilichofanyika leo katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Mji Makambako kwa ajili ya  kupokea mrejesho wa shughuli za uelimishaji masuala ya ukatili na afya ya uzazi,zilizofanyika agosti 16,mwaka huu kupitia ushirikiano wa shirika la JEUMA na hospitali ya Marie Stopes Makambako.

Maroda amesema kuwa,wanawake  wengi baada ya jalada la kesi yake kufikishwa mahakamani,kabla ya shitaka kusikilizwa husitisha kusikilizwa kwa shitaka hilo kwa madai ya kukaa vikao vya usuluhisho vya familia,lengo la mahakama ni kuleta amani na sio kuwachonganisha.

“Mwanamke anapokuja mahakamani yupo pamoja na wana familia,Unapomsomea shitaka mama ananyoosha mkono na kusema mheshimiwa hakimu nimemsamehe mume wangu,unamuuliza kusudio la kuleta kesi mahakamni ni nini?,anasema wameshakaa na ndugu pande za mume na mke na wamesuluhishwa hivyo endapo hakimu akiendeleza kesi watasema Mahakam ndiyo imeamua,kwa kuwa uwepo wa mahakama ni amani katika jamii na sio kuifitinisha jamii”,alisema Maroda.

Naye,Afande Happy Edward kutoka ofisi ya dawati linaloshughulikia masuala ya unyanyasaji na ukatili wa kijinsia kutoka kituo cha polisi Makambako,amesema kuwa kitendo cha wanawake kuwa wepesi wa kusamehe kabla ya kusikilizwa kwa mashitaka yanayofikishwa mahakamani,ni chanzo kikubwa cha ongezeko la matukio hayo kwani hadi sasa jumla ya matukio ya unyanyasaji na ukatili wa wanawake na watoto yaliyoripotiwa yamefikia asilimia 85.

Lakini pia kutokana na malalamiko ya wanaume kushindwa kuripoti unyanyasaji wa kijinsia kwa madai ya kukosekana kwa Maaskari wa jinsia ya kiume katika ofisi ya dawati,Afande Manyumba Edward kutoka ofisi ya dawati katika kituo cha polisi Makambako ametoa wito kwa wanume kujitokeza kwani kwa sasa ofisi hiyo kuna maaskari wa kiume wapo kwa ajili ya kuwasikiliza na kuwasaidia kupata haki zao na kuwataka kutokutumia nafasi hiyo kutekeleza matukio ya kikatili kwa wengine.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa