• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Fedha ya mbolea ya ruzuku inatosha kulingana na idadi ya wakulima wanaotumia mbolea Nchini.

Tarehe iliyowekwa: January 18th, 2023

Na. Lina Sanga

Imeelezwa kuwa asilimia 20 ya Idadi ya wakulima nchini wanatumia mbolea  kati ya wakulima Mil. 7 kutokana na baadhi ya wakulima kukosa elimu sahihi ya matumizi ya mbolea,ambapo kuanzia mwezi agosti 15,2022 hadi sasa zaidi ya tani 200,000 zimetumika zenye thamani ya Bil. 508.3 ikilinganishwa na  mwaka 2022 ambapo  jumla ya tani 367,000 zenye thamani ya wastani wa Bil. 600 zilitumika.

Akizungumza  katika kikao cha wadau wa kilimo kilichofanyika jana katika Halmashauri ya Mji Hayo  Waziri wa Kilimo,Mhe. Hussein Bashe ,baada ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoani Njombe, Bi. Rose Mayemba kuibua hoja ya fedha ya mbolea ya ruzuku kutotosheleza wakulima waliopo nchini.amesema kuwa Tanzania ina jumla ya asilimia 67 ya watu wenye uwezo wa kufanya kazi, ambapo katika sekta ya kilimo jumla ya kaya zinazotekeleza shughuli za kilimo ni Mil. 7 na kati ya hizo ni kaya Mil. 1.4 ndizo zinazotumia mbolea.

Amesema kuwa,baadhi ya wakulima hawaruhusu mtu yeyote kutumia mbolea katika mashamba yao ,kutokana na kukosa elimu sahihi ya matumizi ya mbolea na kupelekea idadi ya watumiaji mbolea kuwa ndogo katika baadhi ya Mikoa,ambapo Mkoa wa Njombe pekee  una jumla ya wakulima waliosajiliwa kwenye daftari 190,000 na waliopata namba ya siri ya kuchukua mbolea ni 183,000 na kuanzia agosti 15,2022 hadi januari 17,2023 jumla ya tani 31,280 za mbolea zimetumika na jumla ya hekta zisizopungua 400,000 zinakadiriwa kulimwa mwaka huu.

Ameongeza kuwa,hadi kufikia sasa Mkoa wa Njombe pekee hauwezi kutumia mbolea zaidi ya tani 60,000 ,ingawa mbolea ya ruzuku imehamasisha wakulima wengi kulima mazao tofauti na mwaka jana,ambapo kwa mwaka 2022  jumla ya hekta 351,000 zililimwa na  jumla ya tani 49,000 za mbolea zilitumika.

Ametoa wito kwa Halmashauri kutambua vituo ambavyo vitasajiliwa kwa mtindo wa NFRA kulingana na mgawanyiko wa wakulima wake,kwa sababu mfumo wa mbolea ya ruzuku unaruhusu kuuza mbolea kwenye maeneo yaliyosajiwa pekee,hivyo kukosekana kwa mawakala kwenye maeneo wanayopatikana wakulima imekuwa changamoto hali inayomlazimu  mkulima kusafiri umbali mrefu kufuata mbolea.

Katika Halmashauri ya Mji Makambako Jumla ya wakulima 19,451 walisajiliwa kwenye daftari kwa ajili ya kupata mbolea ya ruzuku,wakulima 18,026 wamesajiliwa kwenye mfumo na kupata namba ya siri ya kuchukua mbolea na jumla ya tani 1,393. 53 zenye thamani ya Bil. 1.5 zimesambazwa kwa wakulima.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa