• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Filamu ya Royal Tour Kufanya mambo Makubwa Nchini-Dkt.Hassan Abbas

Tarehe iliyowekwa: May 13th, 2022

Na. Lina Sanga

Tanga

Kutokana na kukosekana kwa taarifa za uwepo wa vivutio vya utalii katika baadhi ya mikoa Nchini,na kupelekea Serikali kukosa mapato katika sekta ya utalii na baadhi ya nchi kutambulisha vivutio hivyo kama vyao, filamu ya Royal Tour inafungua milango ya Kuitambulisha dunia kuhusu Vivutio vinavyopatikana nchini Tanzania ili kuongeza mapato kwa kuongeza idadi ya watalii.

Kauli hiyo imetolewa leo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo na Mwenyekiti wa Kamati ya Kuitangaza Tanzania kupitia Royal Tour, Dkt, Hassan Abbas,Katika Kikao cha 17 cha Maafisa Habari, Mawasiliano na Uhusiano wa Serikali Mkoani  Tanga.

Dkt. Abbas amesema kuwa  filamu ya Royal katika nchi yoyote duniani Mhusika mkuu ni Rais aliyepo madarakani, hivyo Mhe. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilimlazimu kusimama katika nafasi hiyo kwa nafasi yake na sio wasanii wengine wa filamu za  bongo wala mchezaji maarufu.

Aidha, amesema katika uzinduzi uliofanywa nchini Marekani ambako ni soko kuu la utalii wa Tanzania,ameweza kukutana na viongozi matajiri namba moja katika sekta mbalimbali ambao wameonyesha nia ya kuwekeza hapa nchini.

Ameongeza kuwa filamu hiyo ya kihistoria,  imetengenezwa katika kiwango cha kimataifa na wataalam nguli duniani, ambao pia wana mitandao mikubwa  ya kuisambaza na inaweza kutazamwa na watu zaidi ya bilioni moja ndani ya muda mfupi.

Pia  amempongeza  Mhe. Samia Suluhu Hassan ,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kazi kubwa aliyofanya,na kuwaomba maafisa Habari na watanzania kwa ujumla  kumwombea katika kazi kubwa anayoifanya,ya kuitangaza na kuifungua Tanzania duniani ili kuvuta wawekezaji na watalii nchini.

Mwisho Dkt. Abbasi ametoa wito kwa Maafisa Habari kuitangaza  filamu ya Royal Tour ili wananchi watambue Serikali ipo kazini na  kumkabidhi Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo  na Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa  nakala ya filamu hiyo ili isambazwe nchini kupitia kwa maafisa hao.

Kauli mbiu ya kikao hicho ni "Mawasiliano ya Kimkakati nyenzo muhimu kufanikisha  sensa ya Watu na Makazi 2022".

#jiandae kuhesabiwa

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Mil. 350.8 za Mikopo ya 10% zimetolewa kwa vikundi 30 Halmashauri ya Mji Makambako,DC aagiza mikopo hiyo kuwa chanzo cha utajiri.

    August 14, 2025
  • MIL 350.8 ZA MIKOPO YA 10% ZATOLEWA KWA AWAMU YA PILI KWA MWAKA 2024/2025.

    August 01, 2025
  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa