• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Halmashauri Mkoani Njombe zatakiwa kupanda miti na kuhifadhi mazingira kwa kushirikiana na wananchi

Tarehe iliyowekwa: January 19th, 2026

Na. Lina Sanga

Agizo hilo limetolewa leo na Mhe. Zakaria Mwansasu Mkuu wa Wilaya ya Wanging’ombe akimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Njombe katika  hafla ya uzinduzi wa upandaji Miti Kimkoa kwa mwaka wa fedha 2025/2026 uliofanyika katikaSoko la mazao la Kiumba,Kata ya Lyamkena katika Halmashauri ya Mji Makambako.

Mhe. Mwansasu amesema kuwa,upandaji wa miti ni muhimu kwani miti ni chanzo cha uhai wa binadamu hivyo ni wajibu wa Halmashauri na wananchi kushirikiana kupanda miti,kutunza na kuhifadhi mazingira ili kuendelea kulinda rekodi ya Mkoa kuwa miongoni mwa Mikoa maarufu kwa kupanda miti.

Amebainisha kuwa, kwa mwaka 2025/2026 Mkoa wa Njombe una lengo la kupanda miti isiyopungua Mil 30 kwa kila Halmashauri kupanda miti Mil. 5,ikilinganishwa na mwaka 2024/2025 ambapo Mkoa wa Njombe ulipanda miti Mil. 31 na jumla ya miti Mil. 25.4 ilistawi na miti Mil. 6 haikustawi kutokana na sababu mbalimbali ikiwa kama kuliwa na mifugo pamoja na moto.

Aidha,amezitaka Mamlaka zinazohusika  na uhifadhi wa mabonde kuendelea kushirikiana na Halmashauri kuweka mipaka na kuhifadhi vyanzo vya maji Pamoja na kusimamia sheria zilizopo sambamba na utoaji wa elimu kwa jamii kuhusu umuhimu wa kuhifadhi mazingira na vyanzo vya maji.

Naye, Mhe. Salum Mlumbe, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Makambako amemhakikishia Mkuu wa Mkoa wa Njombe kuwa Halmashauri ya Mji Makambako kwa kushirikiana na wananchi itaendelea na zoezi la upandaji miti na uhifadhi wa mazingira kwa kuzingatia faida za kuhifadhi vyanzo vya maji,upandaji miti na  kuhifadhi mazingira.

Jumla ya Miti 400 imepandwa leo Katika zoezi la uzinduzi wa upandaji miti Mkoa wa Njombe.

Matangazo

  • Ujio wa Madaktari bingwa Hospitali ya Mji Makambako (Mlowa) September 17, 2025
  • Mapokezi ya ajira mpya januari 2026 January 25, 2026
  • Tangazo la kazi 2024 March 11, 2024
  • Mkutano wa uhamasishaji zoezi la urasimishaji Kata ya Kitisi na Majengo juni 27 - 29,2024 May 28, 2024
  • Fungua

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI LA HALMASHAURI YA MJI MAKAMBAKO LAPITISHA BAJETI YA BILIONI 35.7 KWA MWAKA WA FEDHA 2026/2027

    February 06, 2026
  • Hundi yenye thamani ya Mil.216.7 yakabidhiwa kwa vikundi 19 vya wanawake , Vijana na watu wenye Ulemavu

    February 03, 2026
  • Baraza la Madiwani lamshukuru Rais Samia kwa fedha za miradi na Mbunge kwa kutekeleza shughuli za maendeleo

    January 30, 2026
  • Wananchi wa Makambako watakiwa kutunza mazingira kwa kupanda miti kupunguza athari za upepo mkali

    January 30, 2026
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa