• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Halmashauri ya Mji Makambako yatoa jumla ya shilingi Mil 8.5

Tarehe iliyowekwa: May 11th, 2022

Na. Lina Sanga

Halmashauri ya Mji Makambako kupitia mapato ya ndani,imenunua mashine ya kupima udongo yenye thamani ya shilingi Mil.8.5, ili kusaidia kuongeza uzalishaji wa mazao kwa tija na kuongeza kipato cha mkulima,kupunguza gharama za uzalishaji na kuboresha utoaji wa huduma za ugani kwa wakulima.

Akitoa taarifa hiyo kwa kamati ya fedha na uongozi juu ya ununuzi wa mashine hiyo,Beatrice Tarimo kaimu mkuu wa idara ya kilimo,umwagiliaji na ushirika wa Halmashauri ya Mji Makambako amesema kuwa,mashine hiyo ina tumia vitendanishi 50 kwa ajili ya kupima sampuli 50 za udongo.

Tarimo amesema kuwa mashine hiyo ina uwezo wa kupima vigezo kumi ikiwa ni pamoja na nitrogen, phosphorus, potassium, sulphur, manganese, magnesium, calcium,aluminium pamoja na kupima uchachu wa udongo na Uwezo wa udongo kupitisha chaji na mahitaji ya chokaa.

Ili kufanikisha zoezi la upimaji udongo jumla ya maafisa ugani 22 ngazi ya kata na vijiji watapewa mafunzo,juu ya uchukuaji sampuli na kutafsiri matokeo ya maabara kwa wakulima,na mkulima atachangia gharama za upimaji wa udongo kwa kila sampuli moja ambayo itagharimu shilingi 52,000.

Mwenyekiti wa kamati ya fedha na uongozi,Mhe. Hanana Mfikwa pamoja na wajumbe wa kamati ga fedha wamepongeza ununuzi wa mashine hiyo,na kuwaagiza maafisa ugani kuhakikisha huduma ya kupima udongo inafanyika kwa wakati ili wakulima wapate manufaa.

Matangazo

  • Tangazo la Ajira ya muda, Sensa ya Watu na Makazi mwaka 2022 May 09, 2022
  • Mwongozo wa mtumiaji wa mfumo wa Ajira ya muda, Sensa ya watu na Makazi mwaka 2022 May 09, 2022
  • Matokeo ya Mtihani wa Kuandika wa nafasi ya Mtendaji wa Kijiji Daraja la III na waliochaguliwa kuitwa kwenye Usaili wa ana kwa ana July 13, 2021
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 12, 2018
  • Fungua

Habari Mpya

  • Matukio 57 ya ukatili wa wanawake na watoto yaripotiwa halmashauri ya Mji Makambako

    May 21, 2022
  • Serikali haiuzi mahindi kiholela-Meneja NFRA Makambako

    May 21, 2022
  • Mwenyekiti wa halmashauri ya Mji Makambako aagiza ukusanyaji wa mapato ufikie 100% kabla ya mwaka wa fedha kuisha

    May 24, 2022
  • Ofisi ya Rais Ikulu kulipa gharama za Upangaji na Upimaji ardhi Makambako

    May 20, 2022
  • Fungua

Video

TEHAMA ni Msingi wa Taifa Endelevu, Tuitumie kwa Usahihi na Uwajibikaji . Makambako TC, 2021
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa