• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Hongera Makambako kwa Utekelezaji wa miradi ya ujenzi wa madarasa ya kidato cha kwanza 2023.

Tarehe iliyowekwa: December 7th, 2022

Na. Lina Sanga

Mkuu wa Wilaya ya Njombe,Mhe. Kissa Gwakisa Kasongwa ameipongeza Halmashauri ya Mji Makambako kwa utekelezaji wa miradi ya ujenzi wa madarasa ya kidato cha kwanza 2023 kwa wakati na kwa kuzingatia ubora, na kumuagiza Mkurugenzi kumwandikia barua ya pongezi Mwenyekiti wa Mtaa wa Sigrid kwa kushiriki usimamizi wa ujenzi wa madarasa sita katika shule ya Makambako Sekondari iliyopo katika Mtaa anao uongoza.

Mhe. Kissa ametoa pongezi na agizo hilo leo katika ziara ya ukaguzi wa utekelezaji wa miradi ya ujenzi wa madarasa ya kidato cha kwanza 2023,katika shule sita za Sekondari za Halmashauri ya Mji Makambako.

Amesema kuwa katika miradi yote ya madarasa mwenyekiti wa Mtaa wa Sigrid,Bahati Nyato tangu mwanzo wa utekelezaji wa ujenzi wa madarasa amekuwa bega kwa bega na walimu katika usimamizi wa mradi bila kulazimishwa,kwani hata alipofanya ziara ya kushitukiza alimkuta eneo la mradi.

“Mkurugenzi naomba huyu mwenyekiti wa mtaa aandikiwe barua ya pongezi kwa kushiriki kikamilifu katika usimamizi wa mradi huu wa ujenzi wa madarasa sita,kwani binafsi nimemkuta Mwenyekiti huyu na Mwalimu katika mradi huu pindi nilipokuja bila taarifa na anaonekana anajali na amejitoa mwenyewe kushiriki bila kulazimisha,hongera sana Mwenyekiti kwa kujitoa”,alisema Mhe. Kissa.

Aidha, Mhe. Kissa amesema ameridhishwa na kasi ya utekelezaji wa miradi hiyo,kwani madarasa yamejengwa kwa ubora wa hali ya juu na uhakika wa wanafunzi kuyatumia madarasa hayo januari,2023 upo.

Ametoa agizo kwa Shule zote zenye ujenzi wa madarasa ya kidato cha kwanza kukamilisha madarasa yote ndani ya muda uliopangwa,kabla ya tarehe ya mwisho ya kukabidhi madarasa ngazi ya taifa,kwa kuhakikisha umaliziaji wa baadhi ya vitu unakamilika kwa wakati na kwa viwango vinavyotakiwa.

Halmashauri ya Mji Makambako ilipokea jumla ya Mil. 420 za ujenzi wa madarasa kwa ajili ya wanafunzi wa kidato cha kwanza mwaka 2023,ili kuwapunguzia wananchi mzigo wa michango ya ujenzi wa madarasa.

Matangazo

  • Ujio wa Madaktari bingwa Hospitali ya Mji Makambako (Mlowa) September 17, 2025
  • Tangazo la kazi 2024 March 11, 2024
  • Mkutano wa uhamasishaji zoezi la urasimishaji Kata ya Kitisi na Majengo juni 27 - 29,2024 May 28, 2024
  • Mkutano wa uhamasishaji zoezi la urasimishaji Kata ya Mjimwema May 28, 2024
  • Fungua

Habari Mpya

  • Bodi ya Chuo Kikuu cha Mwalimu Nyerere yatembelea eneo la ujenzi wa chuo hicho Makambako, Wananchi watakiwa kuchangamkia fursa hususani ujenzi wa hosteli

    October 21, 2025
  • Kliniki ya ardhi yazinduliwa Mtaa wa Ilangamoto,nidhamu ya upangaji ardhi na utunzaji wa hati wasisitizwa

    October 13, 2025
  • Tuwasaidie wenye mahitaji maalum kushiriki uchaguzi 2025

    October 03, 2025
  • Kambi ya madaktari bingwa,yawapunguzia gharama wagonjwa

    September 25, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa