• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Hongera Wananchi wa Kifumbe Kwa Ujenzi wa darasa la awali lenye Viwango- DC Kissa Gwakisa Kasongwa

Tarehe iliyowekwa: June 27th, 2022

Na. Lina Sanga

Mkuu wa wilaya ya Njombe,Mhe. Kissa Gwakisa Kasongwa amewapongeza Wananchi wa Kijiji cha Kifumbe katika Kata ya Mahongole,kwa Kuchangia jumla ya shilingi mil.36 zilizotumika katika ujenzi wa madarasa matatu katika shule ya msingi kifumbe,ambapo ujenzi wa darasa moja la wanafunzi wa awali limekamilika na linatumika likiwa na zana rafiki za kufundishia na kujifunzia.

Mhe. Kasongwa ametoa pongezi hizo leo baada ya kukagua ujenzi wa madarasa hayo,ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kijiji kwa kijiji,mtaa kwa mtaa iliyoanza rasmi leo katika kijiji cha Kifumbe na Usetule,Kata ya Mahongole  katika Halmashauri ya Mji Makambako.

“Niwapongeze Wananchi wa Kifumbe kwa kujitoa kwenu na kufanikisha ujenzi wa madarasa haya,hasa hili darasa la wanafunzi wa awali kwa kweli mmefanya vizuri sana,nimeridhishwa na viwango vya darasa hili lakini pia zana za kufundishia na kujifunzia kwa wanafunzi hongereni sana”,alisema Mhe. Kasongwa.

Akisoma taarifa ya mradi wa ujenzi wa madarasa hayo Mwalimu Mkuu wa shule ya Msingi Kifumbe, Mwl. Robert Mgulwa amesema kuwa jumla kuu ya Ujenzi wa madarasa matatu hadi sasa ni shilingi mil 48.5,ambapo Mchango wa Serikali ni shilingi Mil 12.5 na Michango ya wananchi ni Mil 36,madarasa mawili yapo katika hatua ya Ukamilishaji na darasa moja la wanafunzi wa awali limekamilika na linatumika.

Pia Katika ziara hiyo Mkuu wa Wilaya amezungumza na wananchi wa kijiji cha Kifumbe na Usetule na kusikiliza kero zao sambamba na kutoa elimu ya Sensa ya Watu na Makazi itakayofanyika Agosti 23,mwaka huu,Mbolea ya ruzuku na Chanjo ya Uviko 19.

#Jiandaekuhesabiwa2022

Matangazo

  • Ujio wa Madaktari bingwa Hospitali ya Mji Makambako (Mlowa) September 17, 2025
  • Tangazo la kazi 2024 March 11, 2024
  • Mkutano wa uhamasishaji zoezi la urasimishaji Kata ya Kitisi na Majengo juni 27 - 29,2024 May 28, 2024
  • Mkutano wa uhamasishaji zoezi la urasimishaji Kata ya Mjimwema May 28, 2024
  • Fungua

Habari Mpya

  • Bodi ya Chuo Kikuu cha Mwalimu Nyerere yatembelea eneo la ujenzi wa chuo hicho Makambako, Wananchi watakiwa kuchangamkia fursa hususani ujenzi wa hosteli

    October 21, 2025
  • Kliniki ya ardhi yazinduliwa Mtaa wa Ilangamoto,nidhamu ya upangaji ardhi na utunzaji wa hati wasisitizwa

    October 13, 2025
  • Tuwasaidie wenye mahitaji maalum kushiriki uchaguzi 2025

    October 03, 2025
  • Kambi ya madaktari bingwa,yawapunguzia gharama wagonjwa

    September 25, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa