• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Jamii yatakiwa kutambua umuhimu wa Wauguzi.

Tarehe iliyowekwa: May 12th, 2023

Na. Lina Sanga

Jamii imetakiwa kutambua umuhimu wa wauguzi kutokana na majukumu waliyonayo, katika kuhakikisha afya za watu zinaimarika.

Wito huo umetolewa leo na Katibu Tawala Mkoa wa Njombe,Bi. Judica Omari kwa akimuwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Njombe  katika kilele cha maadhimisho ya siku ya wauguzi duniani 2023, ambayo katika Mkoa wa Njombe Maadhimisho hayo yamefanyika Halmashauri ya Mji Makambako katika uwanja wa polisi.

Bi. Judica amesema kuwa,wauguzi hukaa na wagonjwa masaa mengi na kumfariji Mgonjwa hadi dakika za mwisho ,hivyo jamii ina kila sababu ya kutambua umuhimu wa wauguzi na kuwapongeza kwa kazi kubwa wanayofanya.

Amesema kuwa,licha ya kazi kubwa wanazofanya wauguzi,wapo baadhi yao sio waadilifu na wanafanya kazi kinyume na maadili ya kazi zao kwa kufanya vitendo visivyokubalika kama kutoa lugha zisizofaa kwa wagonjwa,kupokea rushwa na kutoa taarifa za siri za wagonjwa na kuwataka wauguzi wenye tabia hizo kuacha mara moja kwani vitendo hivyo havikubaliki.

Kuhusu uhaba wa watumishi katika vituo vya kutolea huduma za afya,amesema kuwa Serikali ya awamu ya sita imeweka utaratibu wa kutoa vibali vya ajira kila mwaka ,na kipaumbele ni sekta ya afya ili kupunguza changamoto ya uhaba wa wauguzi na wakunga kwenye vituo vya afya nchini.

Aidha,ametoa wito kwa Wakurugenzi kuhakikisha wanaandaa mazingira rafiki kwa ajili ya watumishi wanaoajiriwa, ili  pindi wanapoajiriwa  wabaki Mkoa wa Njombe na kuwa  tayari kuwapokea watumishi wote watakaoajiriwa.

Pia,amewaagiza wauguzi wote kusimamia mapato yanayokusanywa kwenye vituo vya afya na kutoka Serikali kuu,kwa kuhakikisha mapato yanapatikana asilimia 50 ya mapato lindwa yanaelekezwa kwenye ununuzi wa dawa na vifaa tiba  ili huduma iwe endelevu na asilimia inayobaki inatumika katika huduma mbalimbali kama posho,usafi wa Zahanati na mahitaji mengine.

Mwisho amewasihi  wauguzi wote kutekeleza viapo vyao kwa kufanya kazi kwa upendo,kujitoa na kushirikiana ili kuendelea kutoa huduma bora kwa wagonjwa.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa