• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

Tarehe iliyowekwa: March 15th, 2025

Na. Tanessa Lyimo

Halmashauri ya Mji Makambako kwa kushirikiana na wananchi, imeanza maadhimisho ya siku ya upandaji miti kwa kupanda miti katika Kata ya Mahongole kwa kupanda jumla ya miti 11,000 imepandwa ikiwa Miti 6,000 imepandwa Kijiji cha Mahongole Machi 14,2025 na Miti 5,000 imepandwa leo katika  Kijiji cha Kifumbe  na machi 17,mwaka huu zoezi la upandaji miti 4,000 litafanyika katika Kata ya Utengule,ikiwa ni maandalizi kuelekea kilele cha maadhimisho ya siku ya  upandaji Miti Kitaifa ambapo kwa mwaka huu, maadhimisho hayo yatafanyika Mkoani Njombe Machi 21,2025.

Akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Kifumbe Mgeni rasmi wa maadhimisho hayo,Mhe.Mario Kihombo, ambaye ni diwani wa Kata ya Mahongole ameushukuru  uongozi wa Halmashauri kwa utekelezaji wa zoezi hilo katika Kata hiyo, kwani kupitia  miti hiyo kizazi cha sasa na kijacho kitapata manufaa, na kuwataka wananchi  kuithamini na kuilinda miti hiyo dhidi ya majanga mbalimbali kama ukataji holela wa miti na majanga ya moto.

Kwa upande wake Mkuu wa Kitengo cha Maliasili na uhifadhi wa Mazingira wa Halmashauri ya Mji Makambako, Bi. Anna Mhoka amesema kuwa,katika kuhakikisha Mazingira yanasimamiwa ,kulindwa na kuendelezwa kwa faida ya kizazi cha sasa na kijacho, Halmashauri ya Mji Makambako kwa mwaka 2024/2025 inatarajia kupanda miti Mil. 1.75 kati ya Miti Mil. 1.5 ambayo TAMISEMI imeelekeza Halmashauri zote kupanda na kuwa na zidio la miti laki mbili na elfu hamsini.

Mwenyekiti wa Kijiji cha Kifumbe, Bw. Ferdinand  Kibiki amewashukuru wananchi wa Kijiji hicho kwa ushirikiano na kujitokeza katika zoezi la upandaji miti ,na kuwataka wananchi kuwa makini na mifugo wakati miti hiyo bado midogo ili kuepusha uharibifu wa mazingira kwa mustakabali wa maendeleo ya Kijiji hicho na Makambako kwa ujumla.

Naye, Bi.Nusta Mkawala Mkazi wa Kijiji cha Kifumbe kwa niaba ya wananchi wote ameishukuru  Halmashauri kupitia Kitengo cha TASAF na Kitengo cha Maliasili na uhifadhi wa Mazingira, kwa upandaji miti Kwani utawasaidia wananchi kupata faida mbalimbali ikiwemo upatikanaji wa mbao na nguzo ambazo zitawasaidia kukuza uchumi wa kijiji na wananchi kwa ujumla.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa