• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Kamati ya siasa Wilaya ya Njombe yaiagiza Mamlaka ya Maji Makambako kupanda miti chanzo cha maji Fukulwa.

Tarehe iliyowekwa: January 18th, 2023

Na. Lina Sanga

Kamati ya Siasa Wilaya ya Njombe imeitaka Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Mjini  Makambako (MAKUWASA) , kutenga bajeti ya upandaji miti rafiki na maji kuzunguka chanzo cha maji  Fukulwa,kilichopoKata ya  Mtwango pamoja na kuwachukulia hatua za kisheria wananchi wanaofanya shughuli za kilimo katika vyanzo vya maji pamoja na viongozi katika ngazi ya Kijiji.

Maagizo hayo yametolewa leo na Wajumbe wa Kamati hiyo,katika ziara ya ukaguzi wa utekelezaji wa Miradi ya maendeleo katika Halmashauri ya Mji Makambako na Halmashauri ya Wilaya ya Njombe.

Mhe. Nusulupila Sanga,Mwenyekiti wa Kamati ya siasa Wilaya ya Njombe amesema kuwa miundombinu ya chanzo hicho cha maji ni ya muda mrefu,hivyo ili kuzuia upotevu wa maji hasa nyakati za kiangazi,ni vema jitihada za kufanya maboresho ya miundombinu hiyo zifanyike kwa kuzingatia umuhimu wa chanzo hicho ,kwani maji hayo yanahudumia wananchi wengi  ikiwa ni pamoja na  wakazi wa Mji wa Makambako.

Akitolea ufafanuzi wa  suala la maboresho ya chanzo hicho,Meneja wa MAKUWASA,Mhandisi  Oscar Lufyagilo amebainisha kuwa bajeti yenye jumla ya Mil. 27 ya kuongeza ukuta wa mto Fukulwa imetengwa na pindi ukuta huo ukijengwa utasaidia kupunguza upotevu wa maji tofauti na  ilivyo sasa.

Mhandisi Lufyagilo amesema kuwa,ili kupunguza adha ya ukosefui wa maji katika baadhi ya maeneo ndani ya Mji wa Makambako,Mradi wenye thamani ya bil. 46 umeshaanza kutekelezwa ambapo jumla ya lita mil. 2 zitazalishwa kutoka mto Mgiwi uliopo mpakani mwa Wilaya ya Makete  na Halmashauri ya Mji Njombe na kusafiri kupitia mabomba kwa umbali wa kilomita 90 hadi Makambako.

Aidha, Kamati ya Siasa Wilaya ya Njombe imeipongeza TASAF kwa kujenga jengo la wagonjwa wa nje na huduma ya mama na mtoto pamoja na nyumba pacha za watumishi,katika kituo cha afya cha Ikelu ambacho kitasaidia wananchi kupata huduma za afya kwa gharama nafuu.

Katika ziara hiyo Kamati ya Siasa Wilaya ya Njombe imekagua miradi minne ikiwa ni  pamoja na  mradi wa madarasa matatu na ofisi moja ya kidato cha kwanza katika shule ya Sekondari Maguvani,Mradi wa barabara ya Usetule na Mbugani yenye urefu wa kilomita 12.12 kwa kiwango cha changarawe,Mradi wa maji Fukulwa na mradi wa ujenzi wa kituo cha afya Ikelu.

 

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa