• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Kamati ya Siasa Wilaya ya Njombe,yapongeza utekelezaji wa mradi wa maghala 112 Makambako.

Tarehe iliyowekwa: August 24th, 2023

Na. Lina Sanga

Kamati ya siasa Wilaya ya Njombe imepongeza utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa maghala 112 ya kuhifadhia nafaka unaogharimu takribani bil. 2.24,yanayojengwa katika Mtaa wa Makatani,Kata ya Lyamkena, Halmashauri ya Mji Makambako katika mfumo wa jenga,tumia na rejesha.

Pongezi hizo zilitolewa jana na Mwenyekiti wa Kamati ya Siasa Wilaya ya Njombe pamoja na wajumbe wa Kamati hiyo,katika ziara ya ukaguzi wa miradi ya Maendeleo katika Halmashauri ya Mji Makambako katika mwaka wa fedha 2023/2024.

Mhe. Justin Nusupila Sanga,Mwenyekiti Kamati ya siasa Wilaya ya Njombe amesema kuwa utekelezaji wa mradi huo una tija kubwa kwa wananchi na Serikali,kwani ni mradi mzuri wa uwekezaji unaowaweka wafanyabiashara pamoja kwenye mazingira rasmi na kupata soko la uhakika.

"Nipongeze utekelezaji wa mradi huu kwani una tija kwa wananchi na Serikali,na ni uwekezaji mzuri unaoenda sambamba na jitihada za Serikali kutenga maeneo rasmi ya biashara mbalimbali",alisema Mhe. Sanga.

Ametoa rai kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Makambako,kuendelea kufanya maboresho na kukamilisha mahitaji mbalimbali ambayo yanatakiwa kufanywa na Halmashauri ikiwa ni pamoja na kusogeza huduma muhimu zinazojitajika eneo la mradi ikiwa ni pamoja na kuhakikisha huduma ya Umeme inapatikana pamoja na huduma ya Maji.

Aidha,ametoa rai kwa Ofisi ya Meneja wa TARURA Wilaya ya Njombe, kutenga bajeti ya matengenezo ya barabara kwenye eneo la mradi ambayo ina uwezo wa kuhimili magari mazito ya mizigo.

Leo Sanga,mbeba mizigo katika maghala hayo,ameishukuru Serikali kwa kubuni mradi huo kwani umeongeza uhakika wa watu mbalimbali kufanya kazi na kupata fedha kwa ajili ya kuendesha maisha yao.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa