• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Mchakato wa Kijiji cha Ikelu kuwa Kata uanze-Mhe. Deo Kasenyenda Sanga

Tarehe iliyowekwa: July 18th, 2022

Na.Lina Sanga

Mbunge wa jimbo la Makambako, Mhe. Deo Kasenyenda Sanga ameagiza mamlaka ya kijiji cha ikelu kuanza majadiliano  ya kukipandisha hadhi kijiji hicho kiwe Kata kwani  kina sifa ya kuwa Kata na kuwa na mitaa badala ya vijiji.

Agizo hilo limetolewa leo na Mhe. Sanga katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika ofisi ya kijiji cha Ikelu,baada ya mwananchi kumuomba Mbunge kuwasaidia kijiji chao kiwe Kata kamili kwani kina vijiji vitano ambavyo navyo vina hadhi ya kuwa mitaa.

Mhe. Sanga amesema kuwa kijiji cha ikelu kina vigezo vyote vya kuwa Kata kwani huduma zote muhimu kwa wananchi zipo,kama shule na hospitali na sasa kituo cha afya kinajengwa hivyo mchakato wa kujadiliwa kuwa Kata uanze mara moja.

Ametoa wito kwa wananchi wote wa Kijiji cha ikelu kushiriki kikamilifu kazitia zoezi la Sensa ya watu na Makazi Agosti 23 mwaka huu,ili idadi kamili ya watu wanaoishi kijijini hapo  ipatikane,lakini pia idadi ya makazi ijulikane kwani kigezo kikubwa cha kupata Kata ni idadi ya watu.

Aidha,ametoa rai kwa wananchi wote ambao hawajapata chanjo ya Uviko 19 kujitahidi kuchanja,kwani chanjo hiyo haina madhara yoyote kwenye mwili wa binadamu zaidi inaongeza kinga ya kupambana na kirusi cha korona.

Pia, Mhe. Sanga ameunga juhudi za maendeleo zinazofanywa na wananchi katika ujenzi wa miundombinu ya elimu kwa kuchangia bati 50 kwa ajili ya shule shikizi ya Ikelu B, mifuko 20  ya saruji kwa ajili ya ukarabati wa madarasa mawili shule ya Msingi Ikelu, mifuko 30  ya saruji kwa ajili ya ofisi ya Chama Cha Mapinduzi,pamoja na jezi na mpira mmoja kwa vijana wa kijiji hicho ili kuwawezesha kushiriki michezo na kukuza vipaji vyao.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa