• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

KIKAO CHA KUJADILI HOJA ,MAPENDEKEZO YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI.

Tarehe iliyowekwa: June 11th, 2021

Pichani ni Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mhandisi Marwa Lubilya katika kikao cha kujadili Utekelezaji,Mapendekezo na Hoja za Mdhibiti na Mkaguzi  Mkuu wa Hesabu za Serikali yaani (CAG -Controler and auditor General) kuishia June 2019/2020 katika Halmshauri ya Mji wa Makambako.

Kikao hicho kimefanyika katika Ukumbi wa Halmashauri ya Mji wa Makambako na kuhudhuriwa na wajumbe mbalimbali kutoka taasisi za kiserikali na zisizo za kiserikali ndani ya Halmashauri ya Mji wa Makambako na nje wa Mji wa Makambako.

Katika kikao hicho Mkuu wa Mkoa wa Njombe akiwa kama mgeni Rasmi amesisitiza kuwa pamoja na Halmashauri kupata hati safi mara nane(8) kutoka kwa (CAG) haimaanishi kuwa Halmashauri katika utekelezaji wake haina mapungufu kabisa hivyo ni vema kukaa na kujadili kwa pamoja namna ya kuzuia hoja za nyuma zisijirudie mara kwa mara na ikiwezekana kufuta hoja kabisa.

Aidha amepongeza ushirikiano uliopo kati ya CAG na Halmashauri na kuwa na imani  ya kuweza kusaidia kufungwa kwa hoja na kwa wakati sahihi na weledi mkubwa  ,Amegusia masuala ya ukusanyaji mapato kwa njia ya mfumo ili kuepuka suala la upotevu wa fedha mbichi kiholela ,Pia Suala zima la Mikopo ya vikundi vya Wanawake ,Vijana na watu wenye mahitaji maalumu ni vema sheria na kanuni zikafuatwa ili Mikopo hiyo irejeshwe kwa wakati ili na wengine wanufaike nayo kwa wakati muafaka.

Mkuu wa Mkoa pia amewakumbusha wajumbe husuani Madiwani,Watendaji kuendelea kuhimiza wananchi hasa wazazi kuchangia chakula kwa watoto mashuleni kwa wakati ili kuepusha adha ambazo zinaweza kuleta shida kwa wanafunzi pindi wanapokosa chakula kwa wakati, Sambamba na hilo ameongeza suala la Madawati ni vema pia utaratibu ukawekwa mapema ili kuepusha migogoro pale ambapo shule zinafunguliwa january suala la madawati na viti inakuwa shida si nzuri tushirikisne kutatua changamoto katika sekta hii ya elimu mapema.


Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa