• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Lazima tuhakikishe tunakuwa bega kwa bega na kina mama kwenye utekelezaji wa shughuli mbalimbali.

Tarehe iliyowekwa: March 8th, 2023

Na. Lina Sanga

Rai hiyo ilitolewa na Mhe. Deo Kasenyenda Sanga,Mbunge wa jimbo la Makambako katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2023, katika  Halamshauri ya Mji Makambako,yaliyofanyika machi 7,2023 Mtaa wa soko la nyanya,Kata ya Mji Mwema.

Mhe. Sanga amesema kuwa ipo haja ya watu wote kuhakikisha wanashirikiana bega kwa bega na kina mama,katika utekelezaji wa shughuli mbalimbali za maendeleo kuanzia ngazi ya familia hadi taifa,kwani wanawake wana uwezo wa kufanya mambo makubwa katika sekta mbalimbali wakiongozwa na Mhe. Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Ameongeza kuwa,mama kuanzia ngazi ya familia ni jemedali mkuu  na kiungo muhimu katika ustawi wa familia na jamii nzima,kwani hata katika masuala ya siasa kina mama wapo vizuri,wengi wameshika nafasi za uongozi na wanafanya mambo makubwa kwa ustawi wa taifa hili.

Aidha,ametoa wito kwa wananchi wote kuthamini watoto wote kwa kupinga ukatili na kushirikiana kuwalinda watoto dhidi ya ukatili ,kwa kutoa taarifa za vitendo vya ukatili ofisi za mitaa na Kituo cha polisi,kwa kutambua kuwa mtoto wa mwingine ni wa jamii yote ili kuwawezesha watoto kufikia ndoto zao.

Pia amesema kuwa,kwa kutambua umuhimu wa Kitengo cha dawati la jinsia ameunda kamati ya kusimamia ujenzi wa jengo la ofisi ya dawati la jinsia ,katika Kituo cha polisi Makambako ili kurahisisha watoto na wazazi kutoa taarifa za vitendo vya ukatili kwa urahisi.

Kamati hiyo inaundwa na wafanyabiashara wa Makambako ambao wanachangishana fedha kwa ajili ya ujenzi wa jengo hilo,Mwenyekiti ni Bw.Nurdin Mbilinyi maarufu kama NT Business,mtunza fedha  wa kamati ni Bi. Benardetha Sanga maarufu kama Mama Chamanga.

Katika maadhimisho hayo Mhe. Sanga alizindua rasmi jukwaa la uchumi la wanawake katika Halmashauri ya Mji Makambako.


 

Matangazo

  • Ujio wa Madaktari bingwa Hospitali ya Mji Makambako (Mlowa) September 17, 2025
  • Tangazo la kazi 2024 March 11, 2024
  • Mkutano wa uhamasishaji zoezi la urasimishaji Kata ya Kitisi na Majengo juni 27 - 29,2024 May 28, 2024
  • Mkutano wa uhamasishaji zoezi la urasimishaji Kata ya Mjimwema May 28, 2024
  • Fungua

Habari Mpya

  • Bodi ya Chuo Kikuu cha Mwalimu Nyerere yatembelea eneo la ujenzi wa chuo hicho Makambako, Wananchi watakiwa kuchangamkia fursa hususani ujenzi wa hosteli

    October 21, 2025
  • Kliniki ya ardhi yazinduliwa Mtaa wa Ilangamoto,nidhamu ya upangaji ardhi na utunzaji wa hati wasisitizwa

    October 13, 2025
  • Tuwasaidie wenye mahitaji maalum kushiriki uchaguzi 2025

    October 03, 2025
  • Kambi ya madaktari bingwa,yawapunguzia gharama wagonjwa

    September 25, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa