• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Maadhimisho ya siku ya kumbukumbu ya Mashujaa,Halmashauri ya Mji Makambako.

Tarehe iliyowekwa: July 26th, 2023

Na. Lina Sanga

Jana Julai 25,2023  ikiwa ni   siku ya kumbukumbu ya Mashujaa,Halmashauri ya Mji Makambako ilifanya maadhimisho hayo ,katika baadhi ya   shule  za sekondari na msingi  ili kuwajengea uelewa wanafunzi juu ya umuhimu wa siku hiyo na umuhimu wa uzalendo kwa maslahi ya jamii na taifa kwa ujumla.

Afisa  Michezo wa Halmashauri ya Mji Makambako ,Taifa  Lumato akizungumza na wanafunzi hao na kuelezea  historia fupi ya mashujaa nchini  na umuhimu wao,alitoa wito kwa wanafunzi na wananchi wote nchini,kutambua umuhimu wa maadhimisho ya siku ya mashujaa na  kuwaenzi kwa kazi kubwa waliyoifanya ya kuikomboa nchi yetu  na kuiweka  salama, hivyo kila mtu yampasa   kuwa mzalendo na kujitoa kwa ajili ya taifa.

Ametoa wito kwa walimu wa masomo ya historia na uraia kuendelea kutoa Elimu juu ya historia ya mashujaa, ili  kuwajengea wanafunzi hao moyo wa uzalendo na kujitoa kwa ajili ya nchi yao  kwani ndio taifa la kesho.

Naye,Afisa utamaduni wa Halmashauri ya Mji Makambako, Ester Mwakalindile ,alisema kuwa maadhimisho ya siku ya mashujaa yanayofanyika julai 25,kila mwaka kwa lengo la  kukumbushana historia  ya mashujaa , waliojitoa kwa ajili ya taifa pasipo kujali uhai wao ,kwa maslahi ya taifa lote kwa kutanguliza uzalendo mbele kwani bila uzalendo nchi  ingevamiwa  na  kuendelea kutawaliwa.

Maadhimisho hayo yalifanyika katika  shule ya sekondari Makambako , Deo Sanga , shule ya msingi Mashujaa   na Azimio, kwa kuimba nyimbo za kizalendo , kufanya usafi wa mazingira na  kumwagilia miti ili kuwaenzi mashujaa hao akiwemo hayati Mwl.Julius Kambarage Nyerere aliyepigania uhuru wa Tanganyika.

  

 

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa