• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Maafisa habari tekelezeni majukumu yenu Changamoto ni fursa

Tarehe iliyowekwa: July 3rd, 2022

Na.Lina Sanga

Dodoma

Maafisa habari wa Mikoa,Halmashauri na Taasisi zilizopo chini ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI), wametakiwa kutekeleza majukumu yao kwa weledi licha ya Changamoto mbalimbali wanazokabiliana nazo.

Wito huo umetolewa na Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Dkt. Charles Msonde katika kikao kazi cha Maafisa habari wa Mikoa,Halmashauri na Taasisi zilizopo chini ya Ofisi ya Rais TAMISEMI kilichofanyika jana Jijini Dodoma, katika ukumbi wa mikutano wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma.

Msonde amesema  kuwa changamoto ni mchakato wa maendeleo,na panapokuwa na changamoto  tunaitafuta fursa ya changamoto na ikitatuliwa tunapiga  hatua kubwa ya maendeleo  hivyo maendeleo ni mchakato wa kutatua changamoto zilizopo.

"Mhe. Waziri Maafisa habari hawa wanakabiliwa na changamoto.mbalimbali baadhi ni kukosa umuhimu kwenye mamlaka zao kutokana na baadhi ya wenye mamlaka kupuuza umuhimu wa maafisa habari,kutumika nje ya taaluma zao, mamlaka zao kutofanyia kazi maelekezo yanayotolewa na ofisi ya Rais TAMISEMI ya kuwatumia maafisa habari kuhakikisha wanashiriki shughuli mbalimbali za maendeleo na miradi, kuwaruhusu kuingia katika vikao vya kisheria ili kuwawezesha kutambua mambo mbalimbali ya muhimu ya kuwaelimisha na kuwaeleza wananchi wetu lakini pia maafisa habari wenyewe kukosa weledi katika Utekelezaji wa majukumu yao",amesema Msonde.

Amesema kuwa serikali ya awamu ya sita imetekeleza kazi nyingi kuwaletea maendeleo wananchi hivyo jukumu  la Maafisa habari ni kuhabarisha umma juu ya kazi na miradi mbalimbali iliyotekelezwa na ambayo inatarajiwa kutekelezwa Serikali hapa nchini.

Ameongeza  kuwa anatambua maafisa habari wamepewa wajibu mkubwa wa kuhakikisha  wanajitambua wenyewe, kufahamu majukumu yao na kutekeleza majukumu yao kwa weledi , kuhakikisha maendeleo ya nchi na yanayofanyika na haki ya wananchi ya kupata habari inapatikana kwa kuzingatia sheria,kanuni na miongozo ya Serikali iliyopo.

Msonde amesema kuwa lengo kuu la kikao kazi hicho ni kuwapitisha maafisa habari katika miongozo mbalimbali,na kutambua mambo makubwa ambayo  Serikali inafanya kupitia Ofisi ya Rais TAMISEMI.

Katika kikao kazi hicho cha Maafisa habari miongozo mbalimbali ilitolewa ikiwa na miongozo ya utekelezaji wa miradi ya elimu, utekelezaji wa miundombinu ya  afya,Sura ya bajeti ya Ofisi ya Rais TAMISEMI,Taasisi na Sekretariet za Mikoa na Halmashauri,Majukumu ya idara ya Serikali za Mitaa,Uanzishwaji wa kitengo cha Mawasiliano Serikalini na Usimamizi wa tovuti za Serikali na mitandao ya kijamii.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa