• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Mafunzo ya mtaala mpya yatolewa ngazi ya shule Halmashauri ya Mji Makambako.

Tarehe iliyowekwa: January 10th, 2025

Na.Tanessa Lyimo

Halmashauri ya Mji Makambako jana imetoa mafunzo ya mtaala mpya ngazi ya shule, ikiwahusisha walimu wakuu 17 na walimu wa darasa la awali 17 kutoka kwenye baadhi ya shule kati ya shule za msingi 57 zilizopo katika Halmashauri ya Mji Makambako baada ya mafunzo ngazi ya Halmashauri kukamilika.

Akifungua mafunzo hayo yaliyofanyika katika shule ya msingi Sigrid, Mkuu wa divisheni ya elimu ya awali na msingi wa Halmashauri ya Mji Makambako, Mwl.Samwel Komba amewataka walimu waliohudhuria mafunzo hayo kuyapokea  mafunzo ya mtaala mpya kikamilifu ili waweze kuwaelekeza walimu wengine ili kukamilisha mafunzo hayo.

Aidha, amewasisitiza  walimu kutumia nafasi hiyo iliyotolewa na waratibu na wawezeshaji wa mafunzo hayo kutoka Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) ,kwa kushirikiana na  Halmashauri katika kuleta chachu ya utekelezaji wa mtaala mpya kwani mabadiliko ya sera, ukuaji wa Sayansi na Teknolojia umehamasisha jamii kupata mwamko katika kuhakikisha  kizazi cha sasa kinaandaliwa vyema kujikomboa kwa mahitaji ya dunia ya sasa na baadae.

Kwa upande wake  mratibu wa Mafunzo hayo  Kitaifa katika Mkoa wa Njombe ,Mwl. Borgias Ntamwana kutoka Ofisi ya Rais -TAMISEMI divisheni ya Elimu, amewapongeza walimu kwa ushiriki wao na kuwasisitiza kuzingatia matumizi mazuri ya muda katika semina hiyo ili kuwasaidia kukusanya Zana na tunu mbalimbali katika kuwarahisishia uelewa wakati wa mabadiliko wa mtaala huo.

Mwl. Jerome Mwakifuna, mwezeshaji Kitaifa kutoka Ofisi ya Rais -TAMISEMI,ameishukuru Halmashauri na walimu kwa maandalizi na utayari wa mapokeo ya semina ya mafunzo  ya mtaala mpya hali inayodhihirisha  uwepo wa utayari wa  kujipanga vyema katika kufanikisha maboresho ya mtaala huo.

Naye mkuu wa shule ya msingi Magegele, Mwl. Amos Mtawa ambaye ni miongoni kati ya timu ya uwezeshaji ngazi ya Halmashauri ,amesema mafunzo hayo yatawasaidia walimu katika kumpa ujuzi mwanafunzi mwenye umri wa miaka 5 wakati anapoanza elimu ya awali  kujitambua, kujithamini na kufanikisha ndoto katika maisha yake.

Matangazo

  • Ujio wa Madaktari bingwa Hospitali ya Mji Makambako (Mlowa) September 17, 2025
  • Tangazo la kazi 2024 March 11, 2024
  • Mkutano wa uhamasishaji zoezi la urasimishaji Kata ya Kitisi na Majengo juni 27 - 29,2024 May 28, 2024
  • Mkutano wa uhamasishaji zoezi la urasimishaji Kata ya Mjimwema May 28, 2024
  • Fungua

Habari Mpya

  • Bodi ya Chuo Kikuu cha Mwalimu Nyerere yatembelea eneo la ujenzi wa chuo hicho Makambako, Wananchi watakiwa kuchangamkia fursa hususani ujenzi wa hosteli

    October 21, 2025
  • Kliniki ya ardhi yazinduliwa Mtaa wa Ilangamoto,nidhamu ya upangaji ardhi na utunzaji wa hati wasisitizwa

    October 13, 2025
  • Tuwasaidie wenye mahitaji maalum kushiriki uchaguzi 2025

    October 03, 2025
  • Kambi ya madaktari bingwa,yawapunguzia gharama wagonjwa

    September 25, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa