• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

MAKAMBAKO KINARA UFUNGAJI WA HESABU ZA MWISHO TANZANIA

Tarehe iliyowekwa: December 10th, 2019

MAKAMBAKO KINARA UFUNGAJI WA HESABU ZA MWISHO TANZANIA BARA KUNDI LA HALMASHAURI ZIPATAZO 185

Halmashauri ya mji wa Makambako imeibuka kinara katika ufungaji wa hesabu za mwisho Tanzania miongoni mwa Halmashauri

zipatazo 185 za Tanzania bara. Ushindi huo ulitangazwa kataka hafla iliyo andaliwa na bodi ya Taifa ya wahasibu na wakaguzi

 yaani NBAA mnamo tarehe 07/12/2019 Bunju Dar es Salaam

Mkurugenzi Mtandaji wa NBAA CPA Pius Maneno akikabidhi zawadi kwa Mkuu wa Idara ya Fedha H/Mji Makambako Bw.Robert Sinnah


Akizungumzia ushindi huo mkuu wa idara ya Fedha na Biashara katika Halmashauri ya Mji waMakambako Bw. Robert Sinnah alisema 

Ushindi huo ni ishara tosha ya ufanyaji kazi kwa bidii,ueledi na ushirikiano unaoneshwa na idara iliyo chini yake licha ya kwamba 

Halmashauri ya Mji wa Makambako bado ni changa mno(ilianzishwa mwaka 2012).

Pia amepongeza kitengo kizima cha ufungaji wa hesabu za mwisho kikiongozwa na CPA Suphian Juma kwa kazi nzuri waliofanya.


Aidha, mkuu wa kitengo cha Ukaguzi wa ndani   CPA Amen-Rabi Isack amesema licha ya ushindi huo kitengo chake hakitobweteka na 

kuahidi kuendelea kuchapa kazi kwa nguvu zaidi ili kuendelea kudhibiti pesa za serikali.

Waliokaa kutoka kulia: CPA Amen-Rabi Isaack,Bw.Robert Sinnah Waliosimama Kutoka kushoto:CPA Suphian Juma,CPA Okoa Fungo, 

CPA Baraka Manyangu


Wahasibu walioshiriki katika ufungaji mahesabu kwa mwaka 2019 ni

 1.CPA Suphian Juma

 2.CPA Okoa Fungo

 3.Bw.Andrea Mtewa

 4.Bi.Adela Mgaya

 5.Bw.Priscus Mushi


Wakaguzi wa Ndani

CPA Amen-Rabi Isack

CPA Baraka Manyangu.

Matangazo

  • Kuitwa Kwenye Usaili septemba,2025 September 04, 2025
  • Tangazo la kazi 2024 March 11, 2024
  • Mkutano wa uhamasishaji zoezi la urasimishaji Kata ya Kitisi na Majengo juni 27 - 29,2024 May 28, 2024
  • Mkutano wa uhamasishaji zoezi la urasimishaji Kata ya Mjimwema May 28, 2024
  • Fungua

Habari Mpya

  • Mil. 350.8 za Mikopo ya 10% zimetolewa kwa vikundi 30 Halmashauri ya Mji Makambako,DC aagiza mikopo hiyo kuwa chanzo cha utajiri.

    August 14, 2025
  • MIL 350.8 ZA MIKOPO YA 10% ZATOLEWA KWA AWAMU YA PILI KWA MWAKA 2024/2025.

    August 01, 2025
  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa