• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Maonyesho ya nanenane banda la Halmashauri ya Mji Makambako 2022 jijini Mbeya

Tarehe iliyowekwa: August 5th, 2022

Na. Lina Sanga

Mbeya

Katika picha ni baadhi ya wakulima na wafugaji kutoka Halmashauri ya Mji Makambako wakitoa elimu kwa wananchi waliotembelea banda la Halmashauri Ya Mji Makambako  katika Maonyesho ya nanenane 2022,katika viwanja vya John Mwakangale Mkoani Mbeya.

Katika banda la Halmashauri ya Mji Makambako kuna miradi mbalimbali ya Ufugaji kama unenepeshaji Ng'ombe na Mfugaji anakaribishwa kujifunza namna ya uandaaji wa chakula cha ng'ombe ili aweze kuuza nyama kimataifa.

Pia kuna ufugaji wa kuku na utotoleshaji wa vifaranga unaomuwezesha  mfugaji kufuga kuku na kutotolesha vifaranga kwa kutumia mashine zinazotumia mafuta ya taa na kujipatia kipato.

Lakini pia ufugaji wa samaki aina ya sato na kambale ambapo mfugaji anaweza anzisha mradi huu kwa gharama ndogo kwa kutengeneza mabwawa mazuri yanayogharimu fedha kidogo.

Aidha,katika banda la Halmashauri ya Mji Makambako kuna wataalamu wa kilimo na kifugo lakini pia wakulima na washauri wa masuala ya kilimo na mifugo na namna bora ya utunzaji wa mazingira wakati wa utekelezaji wa shughuli za kilimo.

Pia kuna zana mbalimbali za kilimo zinazomuwezesha mkulima kulima kilimo cha kisasa kwa muda mfupi na kupata mazao.

Wananchi wote mnakaribishwa katika banda la  Halmashauri ya Mji Makambako kujifunza mbinu mbalimbali za kilimo na mifugo pamoja na ujasiriamali,lakini pia kununua bidhaa mbalimbali kwa ajili ya matumizi ya nyumbani kama unga,kuku,maziwa,mvinyo wa nyanya,viungo vya chakula  na kujifunza masuala yanayohusu vyama vya ushirika.

Kauli mbiu ya maonyesho ya nanenane kwa mwaka huu"Agenda 10/30 Kilimo ni Biashara,Shiriki kuhesabiwa kwa mipango bora ya kilimo,Mifugo na Uvuvi".

Matangazo

  • Ujio wa Madaktari bingwa Hospitali ya Mji Makambako (Mlowa) September 17, 2025
  • Tangazo la kazi 2024 March 11, 2024
  • Mkutano wa uhamasishaji zoezi la urasimishaji Kata ya Kitisi na Majengo juni 27 - 29,2024 May 28, 2024
  • Mkutano wa uhamasishaji zoezi la urasimishaji Kata ya Mjimwema May 28, 2024
  • Fungua

Habari Mpya

  • Bodi ya Chuo Kikuu cha Mwalimu Nyerere yatembelea eneo la ujenzi wa chuo hicho Makambako, Wananchi watakiwa kuchangamkia fursa hususani ujenzi wa hosteli

    October 21, 2025
  • Kliniki ya ardhi yazinduliwa Mtaa wa Ilangamoto,nidhamu ya upangaji ardhi na utunzaji wa hati wasisitizwa

    October 13, 2025
  • Tuwasaidie wenye mahitaji maalum kushiriki uchaguzi 2025

    October 03, 2025
  • Kambi ya madaktari bingwa,yawapunguzia gharama wagonjwa

    September 25, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa