• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Maonyesho ya Utalii Karibu kusini 2022 yafungwa rasmi leo.

Tarehe iliyowekwa: November 13th, 2022

Na. Lina Sanga

Iringa

Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar,Mhe. Othman Masoud othman  amelitaka shirika la ndege la Air Tanzania (ATCL) kuendelea kuimarisha safari za ndege katika Mikoa ya kusini, yenye hazina kubwa ya vivutio vya utalii ili kuchochea ukuaji wa shughuli za utalii  na kuchangia maendeleo ya wananchi na Taifa kwa ujumla.

Mhe. Othman ametoa rai hiyo leo alipokuwa akihutubia wadau wa utalii na wananchi waliofika  katika viwanja vya maonyesho ya Utalii karibu kusini 2022 ,Kihesa Kilolo mkoani Iringa ambapo maonyesho hayo  yamehitimishwa leo.

Kabla ya kufunga rasmi maonyesho hayo kwa mwaka huu Mhe. Othman amesema ipo haja ya mikoa ya kusini kushirikiana na Wizara ya Maliasili na Utalii kauibua mazao Mapya ya utalii,na kuyatangaza ili kuwavutia Watalii kwa kuzingatia mpango wa Taifa wa tatu wa maendeleo wa miaka Mitano kuanzia mwaka 2021/2022 hadi 2025/2026.

Aidha, ametoa wito kwa mikoa yote nchini kuhakikisha inaajiri Maafisa Utalii pamoja na kuunda kamati za ushauri za utalii kwa ngazi ya Mkoa,ambazo zitahusisha wadau mbalimbali kutoka katika mikoa husika.

Pia, amezitaka Mamlaka za  Serikali za Mitaa kutenga maeneo ya uwekezaji na kuweka miundombinu muhimu ya kuvutia uwekezaji wa shughuli za utalii,pamoja na kuendeleza utalii wa fukwe na mazao mengine ya utalii yenye fursa kwa ufanisi mkubwa.

Ametoa wito kwa Mikoa yote ya kusini kuanza maandalizi na uratibu wa maonyesho hayo kwa mwaka 2023 mapema, ili kuvutia waoneshaji wengi zaidi pamoja na wanunuzi wa bidhaa za utalii wa Kimataifa.

Maonyesho ya Utali karibu kusini kwa mwaka 2023 yanatarajiwa kufanyika septemba 23.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa