• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Mbio Maalum za Mwenge wa Uhuru wilaya ya Njombe

Tarehe iliyowekwa: September 8th, 2021

Katika picha ni matukio ya Mbio maalum za Mwenge wa Uhuru Mwaka 2021 katika Wilaya ya Njombe Ambapo Mbio hizo maalum za Mwenge wa Uhuru zimebebwa na kauli mbiu kuu ya "Tehama ni Msingi wa Taifa endelevu itumike kwa usahihi na uwajibikaji." 

Wakati kauli ndogondogo ni pamoja na:Kupambana na Rushwa ni jukumu langu,Mshikamano wa Kitaifa tuwajibike kwa pamoja ,Tujenge Jamii yenye Afya imara kwa kuzingatia lishe bora,Zero Malaria inaanza na mimi nachukua hatua kuitokomeza ,Elimu sahihi ya Dawa za kulevya huboresha huduma kwa waraibu;chukua hatua.

Katika msafara wa mbio maalumu za Mwenge wa Uhuru Mwaka huu umeongozwa na kiongozi wa Mbio za Mwenge kitaifa LUTEN KANAL Josephine Paul Mwambashi akiambatana na LUTEN KANAL Ramadhani Ally Mshamu,Coplo Rehema Ally Haji ,LUTEN KANAL Geofrey Juma Aroni ,LUTEN KANAL Musa Hassan Musa na PTE Dismas Egno Mvula.

Akitoa salaamu za Mbio maalumu za Mwenge wa Uhuru LUTEN JOSEPHINE PAULO MWAMBASHI mara baada ya kuhitimisha zoezi la kukagua na kuzindua miradi ya maendeleo amesema kuwa watu wanaotumia madawa ya kulevya hawatakiwi kunyanyapaliwa bali wapewe elimu ili watambue athari za kutumia madawa hayo na waachane nayo kwani yanadumaza utendaji kazi na nguvu kazi ya taifa jambo ambalo linaweza kuleta madhara makubwa katika taifa letu.

Mwambashi ameongeza kuwa kutokana na vijana wengi kujihusisha na madawa ya kulevya kumesababisha madhara makubwa kwani wahanga wamelifanya taifa likose nguvu kazi  kutokana na wengi wao kukumbwa na magonjwa mbalimbali kama vile maambukizi makubwa ya VVU jambo ambalo taifa litapoteza nguvu kazi kubwa na katika janga la Rushwa amesema jamii ikatae Rushwa kwakuwa Rushwa ni adui wa haki na watu wengi wanapoteza haki zao za msingi kwa sababu ya Rushwa hivyo kuikataa Rushwa ni jukumu letu sote.

Awali akipokea Mbio maalum za Mwenge wa Uhuru kutoka Wilaya ya Ludewa Mkuu wa Wilaya ya Njombe KISSA GWAKISA KASONGWA amesema kuwa Mwenge wa Uhuru utazindua jumla ya miradi ya kimaendeleo kumi na moja (11) ya serikali na isiyo ya kiserikali  yenye thamani zaidi ya shilingi Billion mbili.

Mwenge huo wa uhuru umehudhuriwa na Viongozi mbalimbali wa Chama cha Mapinduzi (CCM),Makada mbalimbali wa Chama cha Mapinduzi(CCM) ,Wakurugenzi wa Halmashauri zote za wilaya ya Njombe ,Wakuu wa idara na vitengo pamoja na wananchi wa sehemu mbalimbali zenye miradi ambayo imepitiwa na Mbio maalumu za Mwenge wa Uhuru mwaka huu.Kazi Iendelee.


Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa