• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Mbolea ya ruzuku ianze kutolewa agosti 15,2022-Mhe. Samia

Tarehe iliyowekwa: August 8th, 2022

Na. Lina Sanga

Mbeya

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mhe. Samia Suluhu Hassan ameiagiza Wizara ya Kilimo,kuhakikisha  mbolea ya ruzuku inaanza kutolewa agosti 15 ili kuwawezesha wakulima kulima kwa wakati kulingana na msimu.

Mhe. Samia ametoa agizo hilo leo katika kilele cha maonyesho ya nanenane kwa mwaka 2022,yaliyofanyika kitaifa katika viwanja vya John Mwakangale jijini Mbeya,baada ya kuwasilishwa kwa taarifa ya utekelezaji wa mbolea ya ruzuku iliyowasilishwa na Waziri wa Kilimo,Mhe. Hussein Bashe.

Pia amezitaka kampuni zote  zinazosambaza mbolea ya ruzuku,kutangaza mawakala wake ambao wanauza mbolea yenye ruzuku ili wakulima wajue.

Ametoa Wito kwa  wakulima wote kujisajili ili waweze kupata mbolea ya ruzuku,na siku za mbeleni vitambulisho vya wakulima vitatolewa ili kuwawezesha wakulima kupata ruzuku mbalimbali na mikopo katika taasisi za kifedha.

Aidha,ameongeza  kuwa Serikali imejipanga kuwagawia mashamba yenye hatimiliki  vijana,ili kuwawezesha  kujiajiri  kupitia sekta ya kilimo lakini pia kuwawezesha kupata mikopo kwenye taasisi za kifedha na kuagiza Kila mkoa  kutenga maeneo makubwa kwa ajili ya kilimo cha mashamba makubwa na sio vipande vipande.

Pia Mhe. Samia Suluhu Hassan amekabidhi funguo za trekta kwa wakulima bora  wawili  na  ameshuhudia utiaji saini mikataba  21 ya miradi ya Kilimo yenye thamani ya zaidi ya bil. 180 itayotekelezwa kwenye Mikoa 7,Wilaya 12, yenye ukubwa wa hekta 26,700  na miradi hiyo ikikamilika jumla ya  ajira mpya zaidi ya laki moja  zitaongezeka na kuongeza uzalishaji wa zaidi ya tani 97,000 za mpunga.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa