• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Mbunge

Tarehe iliyowekwa: February 26th, 2021

Pichani aliyesimama kama mzungumzaji ni Mbunge wa Jimbo la Makambako Ndg Deo Sanga  katika kikao cha Kujadili Rasimu ya Mpango wa Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2021/2022 na Mapitio ya Mwaka 2019/2020 na nusu 2020/2021 zoezi ambalo limenda sambamba na uzinduzi wa gari la kubeba taka katika Halmashaur ya Mji wa Makambako ,akichangia katika mchanganuo wa Bajeti hiyo hasa katika suala la Wananchi kulipwa fidia ambapo amagusia eneo la Mtaa wa Polisi kuwa Wananchi wanaishi katika Mazingira Magumu kama vyoo vyao vimebomoka hawaruhusiwi kufanya ukarabati wowote unao husiana na ujenzi hivo ameziomba mamalaka husika kulitizama hilo mbali na kuwa tayari kama Mbunge wa jimbo la Makambako ameshakutana na Waziri wa Mambo ya Ndani na kuzungumza nae suala hilo la fidia kwa wananachi hao,

Ameomba pia Watumishi kujitoa katika masuala mazama ya kuhudhuria vikao mbalimbli kwani vikao hutatua kero ,Vikao hujenga hoja hivyo basi hakuna budi kuwatuma wawakilishi katika vikao mbalimbali kama hakuna ulazima ,Waje wasimamaizi wakuu wa Taasisi husika , Hii ni mara baada ya utambulisho wa taasisi mbalimbali za kiserikali na zisizo za kiresikali kutuma wawakilishi wao baaada ya kuja wao kama wasimamizi wakuu wa taasisi  hizo 'Nimeona wakati wa utambulisho hapa wengi wanasema na muwakilisha fulani kwanini wasije wao' ? kuna nini  alisema Sanga hii sio nzuri kuna maswali mengine wawakilishi mtashindwa kujibu  lakini wakija wakuu wenu itakuwa rahisi kuyajibu.

Matangazo

  • Ujio wa Madaktari bingwa Hospitali ya Mji Makambako (Mlowa) September 17, 2025
  • Mapokezi ya ajira mpya januari 2026 January 25, 2026
  • Tangazo la kazi 2024 March 11, 2024
  • Mkutano wa uhamasishaji zoezi la urasimishaji Kata ya Kitisi na Majengo juni 27 - 29,2024 May 28, 2024
  • Fungua

Habari Mpya

  • Miradi ya maendeleo yazidi kuleta mageuzi Halmashauri ya Mji Makambako

    January 25, 2026
  • Halmashauri Mkoani Njombe zatakiwa kupanda miti na kuhifadhi mazingira kwa kushirikiana na wananchi

    January 19, 2026
  • Uzinduzi wa Baraza la Madiwani wafanyika leo,Mhe.Salum Mlumbe achaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Halmashauri kwa miaka 5

    December 04, 2025
  • Tulichokubaliana tutatekeleza, tulinde Mji wetu tusonge mbele.

    November 29, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa