• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Menejimenti ya TASAF yapongeza ushiriki na ushirikishwaji wananchi kwenye miradi ya maendeleo na uchangiaji wa asilimia kumi.

Tarehe iliyowekwa: April 4th, 2024

Na. Lina Sanga

Menejimenti ya TASAF makao makuu nchini imefanya ziara ya kutembelea na kukagua miradi ya maendeleo iliyotekelezwa kupitia mfuko wa TASAF,katika Halmashauri ya Mji Makambako na kuwapongeza wananchi kwa kushiriki katika ujenzi wa miradi kwa kuchangia asilimia 10 na kusimamia utekelezaji wa miradi hiyo hadi kukamilika pamoja na wanufaika wa TASAF katika Mtaa wa Idofi ambao walipewa Miche ya parachichi.

Akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Usetule na Ibatu,Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF nchini, Ndg. Shandrack Mziray , amesema kuwa maeneo mengine kuchangia asilimia 10 ni changamoto lakini katika Halmashauri ya Mji Makambako ,wananchi wamejitoa kwa moyo mkubwa kuchangia na kushiriki hadi kukamilika kwa miradi hali inayoonyesha wananchi wana kiu ya maendeleo.

Aidha,amepongeza jitihada za uongozi wa Halmashauri ya Mji Makambako kwa kushirikisha wananchi kila hatua ya utekelezaji ,ufuatiliaji na usimamizi wa miradi,na kuwapa nafasi wananchi kuimiliki miradi kwa asilimia mia moja na kuondoa maswali kati yao,kwa miradi hiyo kutekelezwa kwa uwazi hali ambayo inasaidia wananchi kutambua kiasi cha fedha za utekelezaji wa miradi na kuona namna ya kuchangia ili miradi ikamilike na kubakiwa na fedha.

Pia, amewatoa hofu wananchi hao kuhusu maombi  ya kutumia fedha zilizobaki baada ya miradi kukamilika na kuwaahidi  kuruhusu, fedha hizo kutumika  kama wananchi walivyoomba ,ikiwa ni kwa ajili ya ujenzi wa  nyumba pacha ya walimu shule ya Msingi Magomati katika Kata ya Mahongole na Uboreshaji wa miundombinu zahanati ya Ibatu katika Kata ya Kitandililo pamoja  na ujenzi wa jiko la nje nyumba ya watumishi katika zahanati hiyo.

Timu ya menejimenti ya TASAF imetembelea na kukagua miradi mitatu ambayo ni ujenzi wa  madarasa 6 na matundu 12 ya vyoo shule ya msingi Magomati,Kijiji cha Usetule,Ujenzi wa nyumba pacha ya watumishi zahanati ya Ibatu na mradi wa parachichi kwa wanufaika wa TASAF.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa