• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Mfumo wa kielekitroniki kutumika kuwapima Maafisa ugaani nchini.

Tarehe iliyowekwa: November 17th, 2022

Na. Lina Sanga

Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi(sekta ya mifugo) inatarajia kutengeneza mfumo wa kielekitroniki utakaotumika kuwasajili Maafisa Ugani wote pamoja na wafugaji,ili kubaini utendaji kazi wa maafisa hao na idadi ya wafugaji waliopata huduma kwa siku kwa lengo la kuongeza uwajibikaji katika sekta hiyo.

Hayo yameelezwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi(sekta ya mifugo), Mhe. Tixon Nzunda katika kikao cha ufunguzi wa mafunzo rejea, kwa maafisa ugani wa Mikoa ya nyanda za juu kusini,yanayoanza leo  katika ukumbi wa Halmashauri ya Mji Makambako na kuhitimishwa kesho novemba 18,2022.

Mhe. Nzunda amesema kuwa huduma za ugani ni pamoja na uwajibikaji na kubainisha kuwa kuna baadhi ya Maafisa ugani wanalipwa mishahara kwa kufanya kazi kidogo,kazi ambazo haziwezi kupimwa na zina matokeo kidogo hivyo kupitia mfumo huo wa kielekitroniki utasaidia kuimarisha mfumo wa huduma za ugavi na kuongeza  uwajibikaji wa Maafisa ugani wote.

Ameongeza kuwa, juhudi za kuishawishi Serikali kuongeza idadi ya Maafisa Ugani nchini ili kuendana na mpango wa mabadiliko wa Sekta ya Mifugo kwa mwaka 2022/2023 zinaendelea,ili wafugaji wote wafikiwe na kuondokana na changamoto ya ukosefu wa Maafisa ugani katika ngazi ya msingi ambapo kwa sasa idadi ya Maafisa ugani ni chini ya asilimia 12.

Pia,amebainisha kuwa jumla ya mashamba darasa 100 ya malisho yataanzishwa nchini ili kuwafundisha wafugaji kuwa na mashamba ya malisho,kwa ajili ya mifugo yao na kuachana na tabia ya kuhamahama kutafuta malisho.

Ameongeza kuwa,ili kuimarisha sekta hiyo Serikali imeamua kujenga minada 45 yenye mizani na kutengenza mfumo wa kielekitroniki ili ng’ombe kutoka Tanzania anunuliwe na mtu yeyote kote duniani,kwani kupitia mfumo huo watu wote kutoka nchi mbalimbali wataweza kuwaona ng’ombe wanapoingia kwenye mnada,wanapopigwa picha na kuingizwa kwenye mfumo ambao mtu yeyote anaweza kuusoma.

Ili kuongeza uwajibikaji wenye tija Wizara ya Mifugo na Uvuvi(sekta ya mifugo) kwa mwaka wa fedha 2022/2023,inatarajia kununua jumla ya pikipiki 1,200 ambazo zitaelekezwa kwenye mikoa inayotekeleza ufugaji wa ng’ombe wa maziwa na nyama na magari 13.

Matangazo

  • Ujio wa Madaktari bingwa Hospitali ya Mji Makambako (Mlowa) September 17, 2025
  • Tangazo la kazi 2024 March 11, 2024
  • Mkutano wa uhamasishaji zoezi la urasimishaji Kata ya Kitisi na Majengo juni 27 - 29,2024 May 28, 2024
  • Mkutano wa uhamasishaji zoezi la urasimishaji Kata ya Mjimwema May 28, 2024
  • Fungua

Habari Mpya

  • Kliniki ya ardhi yazinduliwa Mtaa wa Ilangamoto,nidhamu ya upangaji ardhi na utunzaji wa hati wasisitizwa

    October 13, 2025
  • Tuwasaidie wenye mahitaji maalum kushiriki uchaguzi 2025

    October 03, 2025
  • Kambi ya madaktari bingwa,yawapunguzia gharama wagonjwa

    September 25, 2025
  • Mil. 350.8 za Mikopo ya 10% zimetolewa kwa vikundi 30 Halmashauri ya Mji Makambako,DC aagiza mikopo hiyo kuwa chanzo cha utajiri.

    August 14, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa