• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Miche 20,000 ya parachichi kutolewa kwa wanufaika wa TASAF - Halmashauri ya Mji Makambako.

Tarehe iliyowekwa: January 24th, 2023

Na. Lina Sanga

Mkuu wa Mkoa wa Njombe,Mhe. Anthony Mtaka leo amefanya uzinduzi wa mradi wa upandaji wa miti ya parachichi kwa wanufaika wa mpango wa kunusuru kaya masikini -TASAF katika Kata ya Mlowa,iliyopo Halmashauri ya Mji Makambako ikiwa ni sehemu ya kampeni ya Mkoa wa Njombe kutokomeza umasikini.

Mhe. Mtaka amesema kuwa jumla ya miche 20,000  ya parachichi yenye thamani ya mil. 100 imetolewa na Wizara ya Kilimo,hivyo Mkoa wa Njombe umeona ni vema miche hiyo itolewe kwa kaya masikini zinazonufaika na TASAF  ili kuwawezesha wanufaika hao kuongeza pato la familia kwa kuuza matunda ya parachichi baada ya miaka mitatu na baada ya miaka mitano wanufaika hao wajitegemee badala ya kuitegemea TASAF maisha yao yote kwani ipo siku TASAF haitakuwepo.

Kabla ya kufanya uzinduzi huo Mhe. Mtaka amewataka wananchi wote kuwahimiza watoto wao kusoma kwani Serikali imekopa Bil. 300 ili kujenga madarasa na haitakuwa tayari kuendelea kukopa Bil. 400 kwa ajili ya kuwapa wazee ambao walikataa shule na kuendekeza ulevi.

Ametoa rai kwa wanufaika wote wa TASAF kuupokea mradi huo wa upandaji wa parachichi  na kumuagiza Mratibu wa TASAF katika Halmashauri ya Mji Makambako kusimamia utekelezaji wa mradi huo kwa kila mnufaika wa TASAF kwa kushirikiana na Maafisa kilimo,Watendaji wa Kata, Mitaa na Vijiji na kwa mnufaika ambaye miche itakufa aondolewe kwenye mpango wa TASAF kwani atakuwa amefanya makusudi kuuhujumu mradi.

Mkoa wa Njombe una jumla ya wanufaika wa TASAF  25,000 na Halmashauri ya Mji Makambako ina jumla ya wanufaika wa Mpango wa TASAF1,825 ambao wanatarajiwa kupewa miche 10 kwa kila kaya na upandaji wa miche hiyo utafanyika februari 1,2023 katika sherehe ya maadhimisho ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa