• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Mikopo ya 10% itolewe kwa vikundi vya vijana sekta ya mifugo - Mhe. Nzunda Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi(sekta ya mifugo).

Tarehe iliyowekwa: November 17th, 2022

Na. Lina Sanga

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi(sekta ya mifugo), Mhe. Tixon Nzunda ametoa wito kwa Halmashauri zote nchini kuhakikisha mikopo ya asilimia 10 inayotolewa kwenye vikundi vya Vijana, Wanawake na Watu wenye Ulemavu kupitia Idara ya maendeleo ya jamii inawafikia vijana wanaojishughulisha na ufugaji kupitia program iliyoanzishwa na Serikali ya kuwawezesha vijana kuunda vikundi vya ufugaji.

Mhe. Nzunda ametoa kauli hiyo leo katika kikao cha ufunguzi wa mafunzo rejea kwa Maafisa ugani wa Mikoa ya nyanda za juu kusini,yanayofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Mji Makambako.

Amesema kuwa, kwa mwaka huu wa fedha 2022/2023 Serikali imeanzisha  vituo nane vya unenepeshaji ng’ombe ambavyo vijana wasomi waliosomea masuala ya sekta ya mifugo kuanzia ngazi ya cheti hadi shahada wameunda vikundi vyenye watu 30,ambavyo vinajishughulisha na uwekezaji wa kunenepesha mifugo na kila kikundi kimepata  ng’ombe 300 na kila kijana amepewa ng’ombe 10 awahudumie.

Ameongeza kuwa jukumu la Serikali na Halmashauri katika program hiyo ni  kuwajengea mazingira wezeshi vijana  ikiwa ni pamoja na kutafuta fedha,kujenga mazizi,kujenga majosho,kuandaa malisho,fedha za kuandaa malisho pamoja na vifaa vinavyotumika kuandaa malisho kwa mtindo wa kuwakopesha,ambapo baada ya fedha kupatikana faida itayopatikana itaingizwa kwenye akaunti ya kikundi kama faida mara nne kwa mwaka na baadaye vikundi hivyo vitasajiliwa kama vikundi vya ushirika.

“Baada ya kusajiliwa kama kikundi cha ushirika watapatiwa maeneo ya ufugaji au Halmashauri  moja moja itawatafutia maeneo ya uwekezaji kupitia mtaji wao,kwa ajili ya kuanzisha vituo vya unenepeshaji wa mifugo na kuwaunganisha na taasisi za fedha ili waweze kukopesheka kwani watakuwa tayari wanatambulika kwa kufanya hivi hawa watakuwa chachu ya kuleta mabadiliko ya ufugaji wenye tija”,alisema Mhe. Nzunda.

Ametoa wito kwa Halmashauri zote nchini kutenga maeneo kwa ajili ya malisho na kuwagawia wafugaji,ili kuwawezesha wafugaji kuwa na uhakika na malisho ya mifugo yao na kufuga mifugo kisasa.  

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa