• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Mil. 150 za TASAF zatumika kufungua na kutengeneza barabara Kijiji cha Kitandililo na Ibatu.

Tarehe iliyowekwa: December 27th, 2022

Na. Lina Sanga

Halmashauri ya Mji Makambako kupitia Mfuko wa maendeleo ya jamii –TASAF kwa mwaka wa fedha 2021/2022 ilipokea zaidi ya Mil.73 za miradi ya kupunguza Umasikini (OPEC IV) inayofadhiliwa na TASAF awamu ya tatu.kwa ajili ya ufunguzi na ukarabati wa barabara zenye urefu wa kilomita 4.22 katika Kijiji cha Ibatu na Kitandililo.

Agnes Kihungu,msimamizi wa mradi wa ufunguzi wa barabara kijiji cha Ibatu amesema kuwa, kukamilika kwa mradi wa ufunguzi wa barabara hiyo inayounganisha vitongoji viwili,Kitongoji cha Isaula na Kitongoji cha Ilengititu itasaidia Kijiji kukua kwa kasi,watu watajenga nyumba na huduma za kijamii zitasogea ikiwa ni pamoja na usafiri wa magari ya mizigo na abiria.

Barabara kijiji cha Ibatu inayofunguliwa na kuunganisha Vitongoji viwili,Kitongoji cha   Isaula na Kitongoji cha Ilengititu.

Ametoa shukurani kwa Serikali na TASAF kwa kutoa fedha kwa ajili ya ufunguzi na ukarabati wa barabara,fedha za walengwa wa TASAF na kutoa ajira za muda kwa wananchi wa maeneo ambayo miradi inatekelezwa na kuongeza pato la Kijiji na mwananchi mmoja mmoja.

Aidha,amebainisha kuwa kupitia mradi huo wa barabara jumla ya watu 54 wanufaika wa TASAF katika kijiji cha Ibatu, wamepata ajira ya muda ya miezi mitatu na kuongeza pato la kaya zao.

Naye, Eliezel Mlawa (55) mmoja wa wanufaika wa TASAF wanaofanya kazi katika mradi wa ufunguzi wa barabara Kijiji cha Ibatu,amesema kupitia TASAF amepata fedha zilizomuwezesha kusomesha watoto,matumizi ya familia na ujenzi wa nyumba ,na kumpa ajira ya muda ambayo anapata fedha kwa ajili ya kuongeza kipato cha kaya yake.

Matangazo

  • Kuitwa Kwenye Usaili septemba,2025 September 04, 2025
  • Tangazo la kazi 2024 March 11, 2024
  • Mkutano wa uhamasishaji zoezi la urasimishaji Kata ya Kitisi na Majengo juni 27 - 29,2024 May 28, 2024
  • Mkutano wa uhamasishaji zoezi la urasimishaji Kata ya Mjimwema May 28, 2024
  • Fungua

Habari Mpya

  • Mil. 350.8 za Mikopo ya 10% zimetolewa kwa vikundi 30 Halmashauri ya Mji Makambako,DC aagiza mikopo hiyo kuwa chanzo cha utajiri.

    August 14, 2025
  • MIL 350.8 ZA MIKOPO YA 10% ZATOLEWA KWA AWAMU YA PILI KWA MWAKA 2024/2025.

    August 01, 2025
  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa