• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Mil. 583 kujenga shule mpya ya sekondari ya Kata ya Mjimwema.

Tarehe iliyowekwa: December 14th, 2024

Na. Lina Sanga

Mil. 583 zimetolewa na Serikali kwa ajili ya ujenzi wa shule Mpya ya Sekondari ya Kata ya Mjimwema, ili kupunguza msongamano wa wanafunzi katika shule ya Makambako sekondari.

Akitoa taarifa hiyo leo Afisa elimu wa divisheni ya elimu sekondari katika Halmashauri ya Mji Makambako, Mwl. Aderick Nombo amesema kuwa, shule hiyo ya Kata ya Mjimwema itajengwa katika Mtaa wa Igangidung'u katika Kata ya Kivavi, kutokana na Kata ya Mjimwema kukosa eneo la ujenzi wa shule.

Amesema kuwa, awali Kata ya Mjimwema waliazimia kujenga shule hiyo katika eneo la shule ya Msingi Makambako, lakini imeshindikana  kutokana na eneo hilo kutokidhi vigezo.

Ametoa wito kwa wananchi wa Kata ya Mjimwema kujitoa kwa ajili ya ujenzi wa shule hiyo kwani licha ya kujengwa kwenye Kata ya Kivavi, wana umiliki wa shule na inatambulika kama   shule ya sekondari ya Kata ya Mjimwema na siyo Kivavi, lakini pia  wananchi wa Kata ya Kivavi watanufaika kupitia shule hiyo kwa kuwasomesha watoto wao hivyo wananchi wa Kata zote mbili wana wajibu wa kushiriki ujenzi wa shule hiyo.

Mhe. Nolasco Mlowe, diwani wa Kata ya Mjimwema ameishukuru Serikali kwa kutoa fedha kwa ajili ya ujenzi wa shule hiyo, na kuahidi kushiriki kusimamia mradi huo hadi utakapokamilika kwa kushirikiana na wananchi wa Kata yote ya Mjimwema.

Naye, Mwenyekiti wa Mtaa wa Igangidung'u, Nasibu Mabiki ameishukuru Serikali  kwa ujenzi wa shule hiyo katika Mtaa huo na kuahidi  kushirikiana bega kwa bega na viongozi wa Kata ya Mjimwema na wananchi kwa ujumla hadi mradi utakapokamilika , kwani maendeleo hayana Mtaa wala Kata  wananchi wa Kata na Mitaa yote   watanufaika kupitia shule hiyo.

Matangazo

  • Ujio wa Madaktari bingwa Hospitali ya Mji Makambako (Mlowa) September 17, 2025
  • Tangazo la kazi 2024 March 11, 2024
  • Mkutano wa uhamasishaji zoezi la urasimishaji Kata ya Kitisi na Majengo juni 27 - 29,2024 May 28, 2024
  • Mkutano wa uhamasishaji zoezi la urasimishaji Kata ya Mjimwema May 28, 2024
  • Fungua

Habari Mpya

  • Kliniki ya ardhi yazinduliwa Mtaa wa Ilangamoto,nidhamu ya upangaji ardhi na utunzaji wa hati wasisitizwa

    October 13, 2025
  • Tuwasaidie wenye mahitaji maalum kushiriki uchaguzi 2025

    October 03, 2025
  • Kambi ya madaktari bingwa,yawapunguzia gharama wagonjwa

    September 25, 2025
  • Mil. 350.8 za Mikopo ya 10% zimetolewa kwa vikundi 30 Halmashauri ya Mji Makambako,DC aagiza mikopo hiyo kuwa chanzo cha utajiri.

    August 14, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa