• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Kikao cha Kamati ya MipangoMiji,Makambako.

Tarehe iliyowekwa: May 28th, 2021

Pichani ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Makambako Paulo Malala,akizungumza na wajumbe wakati wa uzinduzi wa kamati ya MipangoMiji Halmashauri ya Mji wa Makambako zoezi ambalo lilienda sambamba na Uchaguzi wa Viongozi wa kamati hiyo yaani Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa kamati lengo likiwa ni kushirikiana kwa pamoja katika kutatua na kuzuia migogoro ya Ardhi katika Halmashauri ya Mji wa Makambako.

Wakati wa uzinduzi wa kamati hiyo Malala amewasisitiza wajumbe kufanya kazi kwa weledi mkubwa kwa kutumia taaluma zao kutokana na wajumbe kuwatayari na taaluma husika za masuala ya Ardhi Mfano:Idara ya Mazingira ,Tarura na Ardhi wenyewe idara hizi zikishirikina kwa pamoja zinaweza kuleta matokeo chanya ,katika kusaidia jamii ya Makambako hususani katika masuala mazima ya Ardhi.

"Fuateni sheria na kanuni zilizowekwa na Mamlaka husika ili kuondoa migogoro ,ugomvi na uhasama unaoweza kujitokeza kama msipofuata sheria za mamlaka husika ,Muda mwingine jitoeni sadaka kwaajili ya Wananchi,wapeni msaada ili wasijekutamka kuwa mna maslahi binafsi kwenye sekta  ya Ardhi" ,Paulo Malala.

Ameyazungumza hayo mara baada ya uchaguzi wa viongozi wa uainishaji kazi za MipangoMiji katika mamlaka za upangaji Miji Nchini ambapo katika uchaguzi huo nafasi ya Mwenyekiti yalipendekezwa majina mawili ambayo ni APPIA MAYEMBA (Mkuu wa idara ya Mazangira Halmashauri ya Mji wa Makambako) na ELIUDI MWAKIBOMBAKI (Mkuu wa idara ya Mipango Halmashauri ya Maji wa Makambako ) wajumbe kumi (10) walipiga  kura kumuchagua Mwenyekiti ambapo APPIA MAYEMBA Aliibuka mshindi kwa kura sita dhidi ya ELIUD MWAKIBOMBAKI ambaye alipata kura nne( 4) hivyo kufanya APPIA kuwa Mwenyekiti wa kamati .

Wakati huo nafasi ya Makamu Mwenyekiti yalipendekezwa majina mawili ambayo ni CLAUDIA KIPAPI(Afisa Ardhi) NA ELIUD MWAKIBOMBAKI  na wajumbe walipiga kura kumchagua Makamu Mwenyekiti  ambapo ELIUDI MWAKIBOMBAKI aliibuka mshindi kwa kura sita dhidi ya CLAUDIA KIPAPI aliyepata kura nne(4).

 Mara baada ya Uchaguzi na uzinduzi wa kamati ya MipangoMiji kikao cha kamati kikajadili maombi ya kubadilisha matumizi ya Ardhi takribani kwa viwanja nane(8) zoezi ambalo lilisimamiwa na Mwenyekiti wa kamati hiyo, Appia Mayemba ,Wajumbe walijadili na kukubali kubadii matumizi ya viwanja hivyo lakini wakapendekeza kuwa kikao cha kamati ijayo ni vema wakatembele kwanza maeneo husika kabla ya kuanza kujadili zoezi zima la kubadilisha matumiza ya viwanja hivo ,Kwakuwa Majukumu ya kamati hiyo ni pamoja na kukagua na kupitisha Mipango ya jumla ya kina inayokidhi vigezo kwaajili ya kuainishwa na ofisi ya Ardhi Mkoa na kutoa mapendekezo yenye tija wakati wote, Kushauri juu ya maeneo muhimu katika mamulaka za upangaji ,kukagua na kupitisha maombi na mabadiliko ya matumizi ya Ardhi na kukagua maeneo yanayotiliwa shaka .

Akifunga kikao cha kamati hiyo Mwenyekiti Appia amewasisitiza wajumbe na kuwaomba kuzingatia wito uliotolewa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Makambako kuwa viongozi na wajumbe wafanye kazi kwa weledi mkubwa  kwa lengo la kuepusha migogoro isiyo na ulazima katika Mji wa Makambako."Ndg wajumbe Mkurugenzi katoa wito mzuri tuufuate kwaajili ya maslahi ya Wananchi kwa ujumla  Amesema APPIA"."

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa