• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Mkurugenzi alaani wafanyabiashara kuzomea Maafisa wa Serikali wanaosimamia zoezi la Kuhamisha stoo za Mazao kwenye makazi ya watu,atoa angalizo.

Tarehe iliyowekwa: December 4th, 2023

Na. Lina Sanga 

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Makambako, Bw. Kenneth Haule amekiri kutofurahishwa na tabia ya baadhi ya wamiliki wa stoo za mazao, wanaoendeleza mgomo wa kuhamisha stoo za mazao zilizopo kwenye makazi ya watu,licha ya kupewa elimu juu ya utekelezaji wa zoezi hilo lililoanza zaidi ya miaka mitano na kuwazomea maafisa wa Serikali wanaosimamia utekelezaji wa zoezi hilo ili kukwamisha zoezi.

Haule , amesema hayo leo katika kikao na baadhi ya viongozi wa wafanyabiashara wa mazao, waliofika kutoa maoni na mapendekezo ya baadhi ya wafanyabiashara ambao bado hawajahamia katika soko la mazao la Kiumba,kwa madai mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuomba muda zaidi wa kukamilisha ujenzi wa vizimba baada ya nyongeza ya muda kuisha na ujenzi kutoendelea kulingana na makubaliano ya awali.

Amesema kuwa, baadhi ya wafanyabiashara ambao wamegomea zoezi la kuhamisha stoo za mazao na kuanzisha maandamano yasiyo rasmi  wala tija yakiongozwa na wanawake,si kigezo cha kutohama,kwa mfanyabiashara atayekutwa akifanya biashara ya mazao,kushusha au kupakia  mazao eneo lisilo rasmi atalipishwa faini isiyopungua laki tano  pamoja na mwenye gari na kushtakiwa kwa mujibu wa sheria.

Ametoa rai kwa wafanyabiashara hao kutii sheria bila shuruti kwani sheria haichagui mfanyabiashara mkubwa au mjasiriamali mdogo, na Halmashauri haitoi muda mwingine tena wa utekelezaji wa zoezi hilo kwa sasa kwani hoja zinazotolewa hazina mashiko.

Bi. Amina Kassim,Mwanasheria wa Halmashauri ya Mji Makambako ametoa rai kwa wafanyabiashara kuzingatia mikataba yao, waliyosaini ya ujenzi wa maghala na vizimba katika soko la mazao la Kiumba na kutofuata mkumbo katika kukamilisha ujenzi na kuhama,kwani Mkataba ulijazwa na Mtu mmoja sio kundi hivyo Halmashauri itashughulika na mtu mmoja mmoja na sio kundi la watu.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa