• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Mkurugenzi Makambako

Tarehe iliyowekwa: April 1st, 2021

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Makambako Paulo S Malala akizungumza na Wafanyakazi na Watendaji wa Halmashauri ya Mji wa Makambako katika kikao kilochofanyika mnamo tarehe 31 March katika Halmashauri ya Mji wa Makambako kikao ambacho Mwenyekiti wa kikao hicho akiwa ni Mkuu wa Wilaya ya Njombe Bi Ruth Msafiri ,Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Makambako amegusia suala la usafi kwa WafanyakazI na Watendaji .

 Mbali na kuwa Mkuu wa kikao hicho ambae ni Mkuu wa Wilaya Ya Njombe kugusia suala la weledi kazini na kuwa na mpango kazi kwa wafanyakazi na watendaji kuwa na tabia ya kuwa na Ratiba za kuwaongoza nini cha kufanya kuanzia mtu akiwa hajotoka nyumbani kwake ajue cha kufanya huko kazini ''kuna watu mtu anaenda kazini hajui hata nini anaenda kufanya hukokazini ni aibu kwa mtu anayetambua maana ya uwajibikaji ''Mkuu wa Wilaya ya Njombe''. Ameongoza pia masula ya kujitoa katika masuala mazima ya kuleta maendeleo katika taifa letu ya kuwa tuache kuwaamini watu kutoka nje kuwa wao ndo wenye kuleta maendelo ya  Taifa la Tanzania HAPANA  jukumu la maendeleo ya Tanzania ni kwa Watanzania ,Puuzeni maneno yenye kutugawa Yenye kuleta chuki kati yetu ,acheni matumizi mabaya ya mitandao na kuunga mkono vitu ambavyo havina msingi hasa kwenye mitandao ya kijamii na simameni kwaajili ya maendelo ya Tanzania haijalishi tupo katika maombolezo kazi inaendelea na tumuunge mkono Raisi wetu wa sasa Mama Samiah Suluhu Hassan kwa kuyaendeleza yaliyoachwa Hayati Magufuli kwa Taifa letu.

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Makambako nae amegusia suala la usafi katika Mji wa Makambako kuwa hataki taka kuzagaa ovyo katika Mji wa Makambako Hususani katika Vizimba vya kuhifadhi taka  ,Kuweni na tabia yakufanya usafi majumbani mwenu  kwani msimu huu wa masika kuna wafanyakazi makazi yao ni machafu hivyo basi  ni vema kwa idara ya mazingira  kuzunguk pia hata katika makazi na maeneo wanayoishi watendaji na wafanyakazi

Hii itasaidia kuwa na mfano bora wa kuwahimiza wananchii na jamii kwa ujumla katika  masuala ya usafi kwa wananchi ''Sitaki vizimba holela maeneo yasiyo rasmi watendaji simamieni usafi wa mitaa yenu hususani usafi ule ambao umewekwa kila mwisho wa mwezi lengo ni kuweka Mji wetu safi wakati wote.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa