• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Mkuu wa Mkoa wa Katavi aipongeza Halmashauri ya Mji Makambako.

Tarehe iliyowekwa: August 6th, 2022

Na. Lina Sanga 

Mbeya

Mkuu wa mkoa wa Katavi,Mhe. Mwanamvua Hoza Mrindoko ameipongeza Halmashauri ya Mji Makambako kwa kusimamia vema viwanda vilivyopo katika Halmashauri hiyo na kuhakikisha utambulisho wa bidhaa zinazozaliwashwa nchini unafanyika.

Mhe. Mwanamvua ametoa pongezi hizo leo,baada ya kutembelea na kukagua banda la Halmashauri ya Mji Makambako katika maonyesho ya nanenane yanayofanyika kitaifa viwanja vya John Mwakangale jijini Mbeya, na kushuhudia zao la parachichi kutoka Kiwanda cha AvoAfrica kilichopo mtaa wa Majengo katika Halmashauri ya Mji Makambako, ambacho hununua zao la parachichi kwa wakulima na kusafirisha nchi mbalimbali,kwa  vifungashio vinavyotambulisha bidhaa hiyo kuwa ni mali ya Tanzania ingawa mmiliki wa kampuni hiyo ni mwananchi wa Kenya.

Amesema kuwa bidhaa nyingi zinazozalishwa nchini na kampuni za kigeni,huwekwa kwenye vifungashio  vinavyotambulisha bidhaa zinazozalishwa nchini kwa majina ya nchi zingine kwa visingizio vya kukosa vifungashio nchini Tanzania.

"Hongereni  sana  kwa kusimamia vema viwanda vilivyopo katika Halmashauri yenu na kuhakikisha  mali ghafi zote zinatambulika kuwa ni mali za Tanzania na sio nchi nyingine",alisema Mhe. Mwanamvua.

Aidha ameipongeza kampuni ya Lemi machinery Tachnologies kwa kuwa na zana nzuri za kilimo,ambazo zinamuwezesha mkulima kulima kilimo cha kisasa kwani zana hizo zinauzwa kwa bei rafiki na wakulima wadogo na wakubwa.

Pia amewapongeza wajasiriamali waliopo katika banda la Halmashauri ya Mji Makambako,kwa ubunifu wa bidhaa nzuri zenye tija kwa matumizi ya binadamu kama  unga wa sembe wenye virutubisho kutoka kiwanda cha G2L na AKIAKI sembe,juisi ya misasati ambayo inasaidia kuongeza mmeng'enyo wa chakula, mvinyo wa nyanya,ufugaji wa samaki aina ya sato na kambale,ufugaji wa kuku aina ya kuchi ambaye kifaranga kimoja kinauzwa hadi shilingi elfu hamsini,ufugaji wa bata pamoja na unenepeshaji ng'ombe.

Ametoa wito kwa wamiliki wa viwanda wengine ambao wanatumia vifungashio vinavyotambulisha bidhaa za Tanzania  kwa jina la nchi nyingine,kuacha mara moja na endapo hawana vifungashio vyenye utambulisho wa Tanzania watoe taarifa  ili watengenezewe.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa