• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Mkuu wa Wilaya afanya Ziara Halmashauri ya Mji wa Makambako.

Tarehe iliyowekwa: July 8th, 2021

Pichani ni Mkuu wa Wilaya ya Njombe ,Mhe Kissa Gwakisa Kasongwa ambaye amefanya mazungumzo na watumishi wa Makao Makuu ya Halmashauri ya Mji wa Makambako kwa lengo la kujua nini kinafanyika ,hasa katika idara mbalimbali za Halmshauri ya Mji wa Makambako. 

Mkuu wa wilaya amesomewa ripoti ya kazi za idara mbalimbali  kwa mwaka wa fedha 2020/ 2021 kwa Halmashauri ya Mji wa Makambako taarifa ambayo imesomwa na Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Makambako Bi .Appia Mayemba. 

Mara baada ya kusikiliza taarifa hiyo Mkuu wa wilaya ya Njombe amepongeza ingawa taarifa kwa baadhi ya idara zimeandikwa kwa ufupi sana ukilinganisha na ukubwa wa idara hizo Mfano idara ya fedha  na idara ya kilimo na Mifugo, kwa idara ya Kilimo: Ni idara ambayo Inatakiwa ichakatwe kwa kina kwani inabeba Mkoa wa Njombe katika masuala mazima ya kilimo kwa nyanda za juu Kusini mwa Tanzania ,Katika Idara ya fedha pia Mkuu wa Wilaya amegusia suala la mapato kuwa, taarifa hairidhishi kutokana na Halmashauri ya Mji wa Makambako kuwa lango la Mkoa wa Mjombe hivyo mapato yalitakiwa yawe juu zaidi kushinda Halmshauri zote zinazounda Wilaya Njombe yaani Halmashauri ya wilaya ya Njombe na Halmashauri ya Mji wa Njombe.  

Aidha Mkuu wa wilaya ametoa agizo kwa wakuu wa idara zote ,Idara ya ujenzi wakati wa ukaguzi wa miradi Nyaraka zote za ujenzi wa mradi husika ziwe katika mpangilio na weledi mkubwa ili aweze kuelewa nini kimefanyika  na sheria na kanuni zinafuatwa? pia kwa idara ya Maendeleo ya Jamii fedha kwaajili ya Wanawake,Vijana na watu wenye mahitaji maalumu,Je zinawafikia kwa wakati muafaka?na Kwa idara ya Elimu watoto lazima wapate chakula cha mchana mashuleni hiyo ni lazima wazazi wakumbushwe kuwa kuchangia michango ya chakula ni lazima kwa watoto wao .Akihitimisha Mazungumzo hayo Mkuu wa wilaya ametoa agizo kwa watumishi hasa sehemu zao za kazi kufanya kazi kwa ushirikiano na upendo bila kujali mtu ,kabila na hata rangi kwani sote tupo kwaajili ya nchi yetu kwa ujumla kuzingatia muda wa kazi, kuwepo kazini masaa ya kazi na matumizi sahihi ya lugha kwa Watu tunaowahudumia ni jambo la msingi.Pia Mkuu wa wilaya ameahidi kufanya ziara za kushitukiza katika sekta mbalimbali hasa sekta ya Afya, Elimu, Maji  na Umeme lengo ni kutaka kuimarisha utendaji kazi kwa watumishi wote.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa