• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Mkuu wa Wilaya ya Njombe azindua zoezi la utoaji hatimiliki Mtaa wa Sekondari

Tarehe iliyowekwa: August 17th, 2022

Na. Lina Sanga

Mkuu wa Wilaya ya Njombe, Mhe. Kissa Gwakisa Kasongwa amezindua zoezi la utoaji wa hatimiliki kwa wananchi wa Mtaa wa Sekondari,Kata ya Maguvani baada ya zoezi la urasimishaji ardhi kupitia mradi wa MKURABITA kukamilika.

Kabla ya kutoa hati hizo Mhe. Kissa ameshukuru na kupongeza mradi wa MKURABITA kwa kuona umuhimu wa utekelezaji wa mradi huo katika Wilaya ya Njombe hususani Halmashauri ya Mji Makambako.

Amesema kuwa anatambua Halmashauri nyingi, Kata na Mitaa mingi inahitaji mradi kama huo,hivyo wananchi ambao hawajakamilisha malipo ya hati wakamilishe malipo ili zoezi la umilikishwaji likamilike.

Ametoa msisitizo kwa wananchi ambao maeneo yamefanyiwa urasimishaji na kumilikishwa ardhi kutumia hati hizo kwa manufaa,kwa kutumia vizuri mikopo watayochukuwa kupitia hati hizo kwa kufanyia malengo na sio kuongeza idadi ya ndoa.

Ametoa wito kwa taasisi za fedha kutoa elimu ya mikopo kwa wananchi ili wapate manufaa kupitia mikopo wanayopata,kwa kuwajengea uelewa juu ya mikopo.

Lakini pia amemuomba Mratibu wa MKURABITA Taifa,kumaliza kazi ya urasimishaji wa ardhi kwa maeneo yaliyobaki,kama alivyoahidi kukamilisha zoezi hilo baada ya fedha kupatikana.

“Nikuombe Mratibu wa MKURABITA Taifa, kumaliza kazi ya urasimishaji wa ardhi kwa maeneo yaliyobaki kama ulivyoahidi,mimi kwa kushirikiana na Mkurugenzi pamoja na viongozi wa Mtaa na Chama kuwahimiza wananchi kufanya nafasi yao na MKURABITA wafanye nafasi yao ili zoezi la urasimishaji likamilike.

Mhe. Kissa ametoa rai kwa wananchi wa Mtaa huo kukamilisha malipo ya umilikishwaji ili wananchi wa Mtaa wa Kikula pia,wanufaike kupitia mradi huo kwani MKURABITA hawawezi kuanza urasimishaji Kikula kabla ya kukamilisha zoezi katika Mtaa wa Sekondari.

Ametoa wito kwa wananchi wote kujiandaa kwa ajili ya zoezi la Sensa ya watu na Makazi kuanzia usiku wa kuamkia Agosti 23,kwa kuandaa taarifa zote muhimu kwa ajili ya Sensa pamoja na kutoa ushirikiano kwa makarani wa Sensa wataofika katika kaya zao kwa kutoa taarifa za kweli kwa manufaa kwa umma.

Pia ametoa wito kwa wakulima kujiandikisha kwa ajili ya kupata mbolea yenye ruzuku kwenye maeneo wanayolima,ili wanufaike na mbolea hiyo na sio kwenye maeneo wanayoishi.

Lakini pia  ametoa wito na angalizo kwa watendaji wasio waaminifu wanaodai fedha kwa ajili ya uandikishaji wa wakulima kuacha mara moja,kwani hakuna gharama yoyote ya uandikishaji.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa