• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

MOTO WASABABISHA HASARA YA BIL. 316 WILAYA YA NJOMBE.

Tarehe iliyowekwa: November 7th, 2022

Na. Lina Sanga

Njombe

Wilaya ya Njombe kwa kipindi cha miaka mitatu imepata hasara ya moto ulioteketeza jumla ya hekta 16,980.6 za misitu yenye thamani ya zaidi ya  Bil. 316 katika Halmashauri ya Mji Njombe,Halmashauri ya Wilaya ya Njombe na Halmashauri ya Mji Makambako.

Taarifa hiyo imetolewa na Mhifadhi wa Misitu Mwandamizi wa Wakala wa huduma za Misitu Tanzania (TFS)Wilaya ya Njombe,Audatus Kashamakula katika kikao kazi cha Mkuu wa Mkoa wa Njombe na Wahe. Madiwani,Wakurugenzi wa Halmashauri,Wakuu wa idara na Vitengo,Wenyeviti wa Mitaa na Vijiji,Watendaji wa Kata,Mitaa na Vijiji wa Halmashauri zilizopo Wilaya ya Njombe,kikao hicho kimefanyika leo katika Ukumbi wa Halmashauri ya Mji Njombe.

Kashamakula amesema kuwa katika kipindi cha kuanzia mwaka 2020/2021 hadi oktoba 2022/2023 Wilaya ya Njombe imepata matukio 51 ya moto ulioteketeza hekta nyingi za misitu ambapo chanzo kikubwa ni Uchomaji wa mkaa, uchomaji wa mashamba ya miti kwa makusudi ili kuwakomesha wamiliki wa mashamba hayo ikiwa kuna migogoro ya familia na kusababisha hasara kwenye mashamba yaliyo jirani.

Amesema kuwa wananchi wengi wa Njombe wana utamaduni wa kizamani wa kuandaa mashamba kwa kuchoma moto pasipokuwa na mikakati mizuri ya  kudhibiti moto na kusababisha ajali za moto ambao unateketeza rasilimali nyingi za misitu na moto mwingi unaanzia kwenye maeneo ambayo wawekezaji wanatumia wafanyakazi kutoka nje ya Mkoa wa Njombe ikiwemo kupasua mbao na kusababisha moto wanapoandaa chakula.

Mkuu wa Mkoa wa Njombe,Mhe. Anthony Mtaka amekemea vikali tabia ya baadhi ya watu wanaochoma mashamba ya watu kwa makusudi ili kulipiza kisasi kwani wanawapa hasara na wengine wasiohusika na ugomvi wao na kusababisha janga katika uchumi wa Mkoa mzima.

Katika matukio hayo ya moto katika Wilaya ya Njombe,Halmashauri ya Mji Makambako kwa kipindi cha mwaka 2020/2021 imepata hasara ya moto ulioteketeza jumla ya hekta 23.6 zenye thamani ya Mil. 440.5,mwaka 2021/2022 jumla ya hekta 11.4 zenye thamani ya Mil. 212.8 ziliteketea kwa moto na mwaka 2022/2023 kuanzia mwezi julai hadi oktoba jumla ya hekta 14.6 zenye thamani ya Mil. 272.5 zimeteketea kwa moto.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa