• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Mradi wa Ujenzi wa Machinga Complex ,Mji wa Serikali na Barabara yenye 51.2 KM Jiji la Dodoma

Tarehe iliyowekwa: July 3rd, 2022

Na. Lina Sanga

Dodoma

Bil. 9.5 kukamilisha mradi wa  ujenzi wa soko la wazi la machinga complex (Samia open machinga complex),unaojengwa Bahi road Halmashauri ya Jiji Dodoma.

Taarifa hiyo imetolewa leo na Mhandisi wa Halmashauri ya Jiji Dodoma,Iglco Nicodemous  katika ziara ya Maafisa habari wa Mikoa,Halmashauri na Taasisi zilizopo chini ya Ofisi ya Rais TAMISEMI Jijini Dodoma.

Mhandisi Nicodemous amesema kuwa soko hilo la wazi lenye ukubwa wa mita za mraba 15,000, lina uwezo wa kutosha machinga 3,150 lengo kuu ni kuwakusanya machinga wote katika eneo moja na kuwakutanisha na wateja wao na kufanya biashara kivulini.

Amesema kuwa machinga 3,150 wametambuliwa na timu ya uratibu iliyoundwa kwa kushirikiana na machinga wenyewe kupitia uongozi wao,hivyo si rahisi mtu mwingine kuingia sokoni baada ya utambuzi huo na vigezo vya utambulisho wa machinga kilizingatiwa.


Nicodemous ameongeza kuwa baada ya ujenzi kukamilika,machinga waliotambuliwa watakabidhiwa vizimba vya kufanyia biashara bure bila malipo,machinga watalipia huduma mbalimbali ambazo zitakuwa zikitolewa eneo la soko kama usafi na choo.

"Machinga hawatalipia gharama za vizimba bali watalipia huduma kama usafi wa soko na huduma ya choo,watoa huduma kama benki na mama lishe watachangia gharama za upangaji ", alisema Nicodemous.

Chanzo cha fedha za ujenzi wa mradi huo ni mapato ya ndani pamoja na fedha za mpango wa maendeleo na mapambano dhidi ya Uviko 19 mil.500 na bil 2.5 zimetolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan.

Maafisa habari pia wamepata nafasi ya kutembelea Mji wa Serikali "Mtumba" ambao miradi ya ujenzi wa majengo ya ofisi mbalimbali za Serikali inatekelezwa,pamoja na miradi  miwili ya ujenzi wa barabara yenye urefu wa 51.2 KM yenye thamani ya bil 89 na barabara yenye urefu wa 20KM inayotekelezwa  na Wakala wa Barabara Mijini na Vijiji (TARURA).


Ziara hiyo ni moja kati ya agizo la Mhe. Innocent Bashungwa Waziri wa Ofisi Rais TAMISEMI  alilolitoa jana kwa Katibu Mkuu wakati wa kikao cha Maafisa habari wa Mikoa, Halmashauri na Taasisi zilizopo chini ya Ofisi ya Rais TAMISEMI,ili Maafisa habari waweze kutembele miradi ya kimkakati inayotekelezwa na Serikali katika Jiji la Dodoma ,ikiwa ni moja ya azimio kuu la vikao vya Maafisa habari kutembelea miradi katika maeneo ambayo kikao kinafanyika.

#jiandaekuhesabiwa2022

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa