• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Nasaha /Mawaidha ya Mkurugenzi Mpya Halmashauri ya Mji Makambako.

Tarehe iliyowekwa: August 20th, 2021

Katika picha ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Makambako Keneth Haule akizungumza na wafanyakazi makao makuu ya Halmashauri ya Mji wa Makambako lengo likiwa ni kukumbushana masuala ya kazi mara baada ya Mkurugenzi aliyekuwepo kuhamia buchosa Mkoani Mwanza.

Awali akizungumza na wafanyakazi amesema hakuna kitu kilichobadilika kwake kwani wakuu wa idara wapo wafanyakazi wapo labda mazingira kwake ni tofauti kule alikotoka ni Handeni huku ni Makambako lakini si kiutendaji kwakuwa zote ni serikali za mitaa.

Haule amesema kuwa wafanyakazi wanapaswa kukumbuka kuwa wapo kwaajili ya kuwatumikia wananchi na si vinginevyo "SIPENDI UBABAISHAJI" katika kazi tufanye kazi kwa weledi,Taaluma na maadili ya utumishi wa umma katika mazingira ya kazi si vinginevyo."Wapo baadhi ya watumishi hujiona wao kama Mungu watu tambueni kuwa mpo kwaajili ya wananchi kwa kuwasaidia,kuwapa huduma bora acheni kufanya kazi kwa zima moto ,kufanya kazi kwa kumfurahisha mtu au ili uonekanae kwa mtu fulani bali fanya kazi kwaaji ya Watanzania wote''.

Ameongeza kuwa ipo tabia ya kuchelewa kutoa huduma kwa wananchi kwani wapo wananchi ambao wanafika mapema katika ofisi kwa lengo la kupata huduma lakini unakuta mfanyakazi anampiga kalenda nyingi mhudumiwa;Mfano njoo kesho njoo keshokutwa ,mara mkuu wa idara hayupo ,anumwa hali hii inawafanya wananchi kukosa uaminifu na uadilifu wa kazi kwa watu mnaowapa huduma .

Pamoja na kugusia suala la kuchelewa kuwapa huduma wananchi amegusa Matumizi ya lugha za kuwahudumia wananachi kwaujumla "Acheni lugha zinazokatisha tamaa kwa watu mnao wahudumia hasa lugha za kejeli ,fedheha ,matusi na lugha zote ambazo zitawafanya watu kukosa imani na utendaji kazi wenu pamoja na serikali kwa ujumla na kwa mantiki hiyo kazi zifanywe kwa wito kutokana na taaluma zenu na weledi mkubwa kwani kwa kufanya hivyo wananchi na jamii kwa ujumla imani kubwa kwenu na serikali inayowaongoza itaongezeka.

Aidha Mkurugenzi amesema kuwa ni vema wafanyakazi wakatambua kuwa wamewekwa kwaajili ya wananchi na taaluma zao ziwe na tija kubwa kwa watu wanao wahudumia bila kujali lugha ,dini, kabila jinsia na hata rangi kwani mfanyakazi aliye na wito na kazi yake atajisikia fahari kubwa hudumia jamii yake kwa lugha nzuri yenye ufasaha na yenye kuleta upendo kati ya mhudumu na mhudumiwa kwakuwa haina haja kutumia lugha ambazo zitaweka maswali yasiyo na majibu ,zitaweka kigugumizi na kuleta chuki kati yetu tukumbuke sisi sote ni watanzania .

Suala la muda wa kufika na uondoka kazini limetizamwa kwa jicho la tatu na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Makambako ambapo amewasihi wafanyakazi kujitafakari kwa weledi katika matumizi ya muda wa ofisini kwa kufuata sheria na taratibu za utumishi wa umma hasa kwa muda wa kufika na kuondoka ofisini,Amesema kwa kawaida ofisi zote za serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania muda wa kufika ofisini ni saa moja na nusu na muda wa kuondoka ofisini ni saa tisa na nusu si kinyume na hapo.

Akimalizia nasaa za kikao hicho kifupi amegusa utunzaji wa mali na thamani za serikali kwa kuwaambia wafanyakazi kuwa ukitunza mali iliyopo sasa hata watoto wako watakuja kutumia kwani ni aibu kuwa na mtumishi ambaye hana uzalendo na thamani za serikali  hali hiyo itaandaa kizazi ambacho hakina uzalendo na mali za serikali ''Tunzeni mali  hizo kwa ajili ya vizazi vya baadae".Mfano katika shule madawati yatunzwe vizuri ,Hospitali pia miundo mbinu itunzwe vizuri na sehemu yoyote ili itumike hata kwa vizazi vijavyo. 

"Nitegemee Uzalendo, Ushirikiano kwa idara zote za Halmshauri ya Mji wa Makambako na KAZI IENDELEE.Asiyefanya kazi asile "Kenethi Haule Mkurugenzi Halmashauri ya Mji wa Makambako.''



Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa