• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Ni ngumu kusema kwa heri.

Tarehe iliyowekwa: July 29th, 2022

Na. Lina Sanga

Njombe

Kauli hiyo imetolewa na Mhe. Waziri Kindamba ambaye alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Njombe na sasa ameteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Songwe,alipokuwa akizungumza na Viongozi wa dini,viongozi wa mila,viongozi mbalimbali wa Serikali na wananchi wa Mkoa wa Njombe waliohudhuria Kongamano la kuiombea Nchi ya Tanzania  na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mhe. Samia Suluhu Hassan,lililofanyika leo Mkoani hapa.

 Mhe. Kindamba amesema kuwa ni ngumu sana kusema kwa heri kwa wananchi wa Mkoa wa Njombe,lakini hana budi ya kuaga na kwenda kutumika katika kituo kipya cha Kazi na kuahidi kuendelea kushirikiana na wana Njombe kwa mambo mbalimbali.

Amesema kuwa,wananchi wa Njombe wana upendo uliopitiliza usio wa kinafiki  na walimpokea kwa upendo pasipo kujali dini yake wala kabila,kwani viongozi wa dini na kimila wote walimpokea kwa upendo wa dhati na hawakumbagua.

Ameongeza kuwa wananchi wa Njombe pia wanapenda kazi pasipo kusukumwa licha ya hali ya hewa ya baridi lakinbi bado wanajituma katika kufanya kazi,pia ni watiifu na wanyenyekevu wa mamlaka za Serikali hivyo Njombe imemfundisha mengi sana na atayaishi yote aliyojifunza Njombe na yupo tayari kurudi tena Njombe.

Ametoa rai kwa wananchi wa Njombe kuendelea kuwa na mshikamano na kumpa ushirikiana mkuu wa mkoa anayekuja na kuendelea kusonga mbele kwa ari na moyo mkuu pasipo kurudi nyuma,na kuwatumia wazee katika ushauri wa masuala mbalimbali pamoja na kujifunza busara mbalimbali.

Mwisho amewakaribisha wananchi wote wa Mkoa wa Njombe Mkoani Songwe na kushirikiana katika masuala mbalimbali,pia amemshukuru Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kumuamini na kumpa nafasi nyingine ya kulitumikia taifa na kwa upendo wake na uzalendo wake wa kuwezesha na kuboresha mazingira ili wananchi wa Tanzania waendelee kuishi kwa usalama,amani na ustawi mzuri.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa