• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

OR-TAMISEMI na Watumishi wake hatupo tayari kukuangusha Mhe. Samia Suluhu Hassan kutimiza dhamira yako ya kufanya Mapinduzi ya kilimo-Mhe. Bashungwa

Tarehe iliyowekwa: August 8th, 2022

Na. Lina Sanga

Mbeya

Wizara ya ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) pamoja na watumishi wote waliopo chini ya Wizara hiyo,hawatakuwa tayari kumuangusha Mhe. Samia Suluhu Hassan katika dhamira yake ya kuendelea kufanya mapinduzi makubwa katika sekta ya Kilimo.

Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Innocent Bashungwa  leo, alipokuwa akitoa salamu kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan katika kilele cha  maadhimisho ya nanenane viwanja vya John Mwakangale Mkoani Mbeya.

Mhe. Bashungwa amesema kuwa Mzigo unaotakiwa ubebwe na mama husaidiwa na vijana,hivyo Wizara ya   OR-TAMISEMI pamoja na Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya watajipanga  kusimamia  vyema mabilioni ya fedha,zilizotolewa kwa ajili ya wakulima ili waweze kujikwamua kimaisha  kupunguza gharama za maisha na  kufanya uzalishaji mkubwa kwa maendeleo ya nchi.

Amesema kuwa kuhusu wakulima hewa ambao hufanya udanganyifu ili kupata mbolea ya ruzuku, Wizara ya OR-TAMISEMI itashirikiana na Wizara ya Kilimo kuhakikisha mbolea hiyo inawafikia walengwa.

Ametoa shukurani kwa Wizara ya Kilimo kwa kutoa pikipiki 2,500  Kwa Maafiaa Ugani, mashine  za kupimia  udongo, na kutenga  bajeti kwa ajili ya ununuzi wa pikipiki zingine katika bajeti ya mwaka 2022/2023.

Pia ametoa shukurani kwa Naibu Katibu wa Mifugo na Uvuvi kwa kutoa pikipiki 300 kwa maafisa ugani.

Ametoa maelekezo kwa Wakuu wa Mikoa,Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri, kuhakikisha vitendea kazi vilivyotolewa kwa ajili ya maafisa ugani kama pikipiki vinatumika kwa malengo yaliyokusudia pamoja na kusimamia mabilioni ya Fedha zilizotolewa kwa ajili ya Wakulima.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa