• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Utaratibu wa shule binafsi wa kuwaandaa wanafunzi kwa masomo ya darasa la mbele utumike shule za Serikali-Mhe. Anthony Mtaka

Tarehe iliyowekwa: November 8th, 2022

Na. Lina Sanga

Njombe 

Mkuu wa Mkoa wa Njombe,Mhe. Anthony Mtaka amemuagiza Afisa elimu wa Mkoa wa Njombe kuweka utaratibu wa kuwaandaa wanafunzi wanaoingia madarasa ya mitihani mapema baada ya kumaliza mitahala ya mwaka husika na kuwapa walimu uhuru wa kutekeleza jambo hilo ifikapo mwaka 2023 kama shule binafsi zinavyofanya ili kuongeza ufaulu katika Mkoa wa Njombe.

Mhe. Mtaka ametoa agizo hilo leo katika kikao maalumu na baadhi ya wanafunzi wa kidato cha nne wa shule za Sekondari za Serikali zilizopo katika Halmashauri ya Mji Makambako wanaotarajia kuanza mitihani ya kuhitimu masomo ya sekondari novemba 14 mwaka huu.

Amesema kuwa Shule za Serikali  kuanzia Msingi hadi Sekondari zinaendeshwa kimazoea bila mitazamo chanya yenye manufaa kwa wanafunzi kwa walimu kukosa uhuru wa kubuni  mbinu mbalimbali kukuza taaluma.

“Shule binafsi kwa muda ambao wanafunzi wa darasa la nne wamemaliza mtihani wa taifa,wanawaandaa wanafunzi wa darasa la tatu kwa kuwafundisha masomo ya darasa la nne,wanafunzi wa kidato cha kwanza wanaoingia kidato cha pili mwakani wameshaanza mitahala ya kidato cha kwanza lakini wanafunzi wa shule za Serikali ambao wamemaliza mitahala ya mwaka huu wanaenda tu shuleni kutimiza wajibu hadi shule zitapofunga na hawana maandalizi yoyote ya masomo ya mwaka ujao na tunategemea kutokomeza sifuri kivipi?”, alisema Mhe. Mtaka.

Aidha amemtaka Afisa elimu wa Mkoa kuhakikisha idadi ya walimu kufika makao makuu ya Halmashauri kufuata huduma inapungua kwa Maafisa waliopo ofisi kuu kuwafuata walimu kwenye vituo vyao vya kazi kwa kutumia magari ya Serikali na walimu waendelee na jukumu la kufundisha.

Ametoa wito kwa wanafunzi wote wa kidato cha nne kufanya mitihani yao vizuri na kutambua Mhe. Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anafanya jitihada mbalimbali za kuboresha miundombinu ya shule na kutoa ufadhili wa masomo kwa wanafunzi wanaofaulu vizuri.

Matangazo

  • Ujio wa Madaktari bingwa Hospitali ya Mji Makambako (Mlowa) September 17, 2025
  • Tangazo la kazi 2024 March 11, 2024
  • Mkutano wa uhamasishaji zoezi la urasimishaji Kata ya Kitisi na Majengo juni 27 - 29,2024 May 28, 2024
  • Mkutano wa uhamasishaji zoezi la urasimishaji Kata ya Mjimwema May 28, 2024
  • Fungua

Habari Mpya

  • Bodi ya Chuo Kikuu cha Mwalimu Nyerere yatembelea eneo la ujenzi wa chuo hicho Makambako, Wananchi watakiwa kuchangamkia fursa hususani ujenzi wa hosteli

    October 21, 2025
  • Kliniki ya ardhi yazinduliwa Mtaa wa Ilangamoto,nidhamu ya upangaji ardhi na utunzaji wa hati wasisitizwa

    October 13, 2025
  • Tuwasaidie wenye mahitaji maalum kushiriki uchaguzi 2025

    October 03, 2025
  • Kambi ya madaktari bingwa,yawapunguzia gharama wagonjwa

    September 25, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa