• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Soko la mazao la Kiumba , mradi namba moja kuzinduliwa na Mwenge wa Uhuru 2024.

Tarehe iliyowekwa: April 30th, 2024

Na. Lina Sanga

Kamati ya Fedha na Uongozi ya Halmashauri ya Mji Makambako imeunga mkono mapendekezo ya miradi itakayopitiwa na Mbio za Mwenge wa Uhuru 2024,na kuagiza mradi wa soko la mazao la kiumba kuwa mradi namba moja kwani ni mradi wa Halmashauri na sio Serikali Kuu.

Kamati ya Fedha na Uongozi imetoa rai hiyo leo katika ziara ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo katika kipindi cha kuishia robo ya tatu kwa mwaka wa fedha 2023/2024, na kuiagiza timu ya menejimenti kuhakikisha mwenge wa Uhuru unazindua soko hilo na si vinginevyo.

Mhe. Hanana Mfikwa ,Mwenyekiti wa kamati hiyo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Makambako amesema kuwa, katika Mbio za Mwenge kwa mwaka huu Halmashauri ya Mji Makambako ina miradi miwili ambayo ni soko la kiumba na madarasa mawili yaliyojengwa kwa nguvu za wananchi katika shule ya sekondari ya Mbugani-Kitandililo,miradi mingine ni ya Serikali kuu,hivyo Halmashauri inajivunia kuwa na miradi miwili ambayo itazinduliwa na kuwekwa jiwe la msingi na Mwenge,ikiwa ni miradi ambayo baraza la madiwani ilibariki utekelezaji wake.

Amesema kuwa, Halmashauri imewekeza zaidi ya mil. 300 kwa kulipa fidia  maeneo hayo, na wananchi wamewekeza zaidi ya bil. 1 katika ujenzi wa maghala na vizimba , na ujenzi wa soko hilo ulifuata hatua zote kisheria ,hivyo Kamati ya fedha na Uongozi haipo radhi kupoteza fedha hizo pasipokuwa na sababu za msingi,kwani Mji unatakiwa kupangwa na kuendelezwa kwa maslahi ya Umma.

Kamati ya Fedha na Uongozi imetoa wito kwa kamati za Mwenge za Wilaya na Mkoa kutouondoa mradi huo  na kuitaka timu ya  menejimenti na TARURA kuendelea kufanya maboresho ya miundombinu ya soko kama ilivyoagizwa awali.

Matangazo

  • Ujio wa Madaktari bingwa Hospitali ya Mji Makambako (Mlowa) September 17, 2025
  • Tangazo la kazi 2024 March 11, 2024
  • Mkutano wa uhamasishaji zoezi la urasimishaji Kata ya Kitisi na Majengo juni 27 - 29,2024 May 28, 2024
  • Mkutano wa uhamasishaji zoezi la urasimishaji Kata ya Mjimwema May 28, 2024
  • Fungua

Habari Mpya

  • Bodi ya Chuo Kikuu cha Mwalimu Nyerere yatembelea eneo la ujenzi wa chuo hicho Makambako, Wananchi watakiwa kuchangamkia fursa hususani ujenzi wa hosteli

    October 21, 2025
  • Kliniki ya ardhi yazinduliwa Mtaa wa Ilangamoto,nidhamu ya upangaji ardhi na utunzaji wa hati wasisitizwa

    October 13, 2025
  • Tuwasaidie wenye mahitaji maalum kushiriki uchaguzi 2025

    October 03, 2025
  • Kambi ya madaktari bingwa,yawapunguzia gharama wagonjwa

    September 25, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa