• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Taasisi shirikianeni katika kazi mbalimbali Halmashauri yetu izidi kuwa bora katika utendaji-Mhe. Hanana

Tarehe iliyowekwa: July 29th, 2022

Na. Lina Sanga

Rai hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Makambako,Mhe. Hanana Mfikwa leo katika Mkutano wa baraza la Madiwani la robo ya nne kwa mwaka wa fedha 2021/2022 kwa kuwataka wakuu wa taasisi za Serikali na binafsi kushirikiana katika shughuli mbalimbali ili kujenga mahusiano mazuri baina ya taasisi zao.

Mhe. Hanana amesema hayo baada ya kuwasilishwa kwa taarifa ya tuzo ya utendaji bora ya Halmashauri ya Mji Makambako iliyowasilishwa na Mkuu wa Idara ya Utumishi,Norbetha Nyoni na kuwataka wakuu wote wa taasisi kuendelea kushirikiana  ili Halmashauri ya Mji Makambako iendelee kuwa bora katika utendaji wa kazi mbalimbali na  kupata maendeleo ni lazima kuwe na ushirikiano wa taasisi moja na nyingine,hivyo kila taasisi ijitahidi kushirikiana na taasisi zingine zilizopo katika Halmashauri ya Mji Makambako ili kuijenga Halmashauri,Wilaya ya Njombe na Mkoa kwa ujumla kwa umoja.

"TRA wakishirikiana na taasisi zingine kuhamasisha wananchi kulipa kodi itasaidia kuwafikishia walengwa ujumbe huo kwa wakati na kama Jeshi la Wananchi (JWTZ) wamepata msiba wote kwa pamoja tukajumuika na kushirikiana itazidi kuimarisha kujenga mahusiano mazuri baina yetu",alisema Mhe. Hanana.

Aidha,ameishukuru  Serikali na Wizara ya Kilimo kwa kufanya jitihada ya upatikanaji wa mbolea ya ruzuku ili  kuwawezesha wakulima kupata mbolea kwa bei nafuu na ameiomba wizara ya Kilimo kuhakikisha mbolea ya ruzuku inawafikia wakulima kwa wakati ili waweze kulima kulingana na msimu na kupata mavuno ya kuridhisha.

Ametoa wito kwa wakulima wote kujisajili kwa wakati uliopangwa ili kupata mbolea ya ruzuku kwa wakati ,pia ametoa wito kwa waheshimiwa madiwano wote kuhamasisha wakulima waliopo kwenye Kata zao ili wapate mbolea kwa wakati.

Akiwasilisha taarifa kuhusu mbolea ya ruzuku,Kaimu Mkuu wa idara ya Kilimo,Bi. Beatrice Tarimo amesema kuwa mbolea ya ruzuku  itatolewa kwa wakulima waliosajiliwa pekee,katika Mtaa au Kijiji anacholima ili kupata takwimu sahihi za wakulima na ukubwa wa mashamba yao.

Amesema kuwa usajili wa wakulima utaanza rasmi  Agosti 9,mwaka huu katika Mitaa na Vijiji ambavyo shughuli ya kilimo zinafanyika na baada ya usajili wakulima  watanunua mbolea ya ruzuku kwa  wafanyabiashara wa pembejeo za kilimo waliosajiliwa kuuza mbolea kwa bei elekezi ya mbolea yenye ruzuku kulingana na ukubwa wa shamba analolima.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa