• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Taasisi za Umma zatakiwa kuhakikisha Sheria,kanuni na viwango vya miongozo ya Serikali mtandao zinazingatiwa.

Tarehe iliyowekwa: February 11th, 2023

Na. Lina Sanga

Arusha

Mhe. Jenista Mhagama, Waziri wa  Ofisi ya Rais,utawala bora na utumishi amezitaka taasisi zote za Umma kuhakikisha sheria,kanuni  na viwango vya miongozo ya Serikali mtandao zinazingatiwa ikiwa ni pamoja na kuhakikisha wanaomba na kupatiwa kibali cha Serikali mtandao  kabla ya kutekeleza miradi ya TEHAMA.

Mhe. Jenista alitoa agizo hilo jana kabla ya kufunga kikao kazi cha tatu cha Serikali Mtandao,kilichofanyika jijini Arusha  katika ukumbi wa mikutano wa Kimataifa- AICC.

Amesema kuwa, taasisi zote za Umma lazima zitumie mifumo shirikishi  iliyopo  badala ya kila taasisi kuwa na mifumo yake na kuhakikisha mifumo yote inayojengwa na kukaguliwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao inakuwa endelevu na kuwataka Makatibu Tawala wa Mikoa kuandaa vikao ngazi ya Mikoa  vya kutathmini utendaji kazi unaohusu Serikali Mtandao katika ngazi ya  Mikoa hadi Wilaya.

Aidha,amezitaka taasisi, idara na Vitengo kutenga bajeti za mafunzo ya matumizi ya mifumo na kuhakikisha mafunzo hayo yanafanyika na kuwataka Makatibu Tawala wa Mikoa kupima utekelezaji wa matumizi sahihi ya mifumo katika ngazi ya Serikali za mitaa hasa mifumo ya ukusanyaji mapato kwani kuna udanganyifu.

"Wakusanyaji wa mapato wengi hufanya udanganyifu wa matumizi ya mifumo, unapodai risiti wanasema mtandao upo chini kwa kufanya  uhalibifu   wa makusudi ili wasitoe risiti na kwa sasa dawa ya suala hili imeshapatikana,upigaji sasa basi",alisema Mhe. Jenister.

Aidha,ameitaka Mamlaka ya Serikali mtandao kuendelea kujenga mifumo tumizi na kuendelea kutoa huduma kwa wananchi kwa ukaribu na zenye ubora.

Pia amezitaka kamati za TEHAMA kukutana na kufanya kazi na kupima matokeo ya usimamizi wa kamati hizo kwa kila taasisi na kuwataka washiriki wote wa kikao hicho kutoa elimu ya matumizi sahihi ya mifumo kwa watumishi wote na kuhakikisha wanafanyia kazi maazimio yote ya kikao kazi hicho.

Ameipongeza Mamlaka ya Serikali Mtandao kwa kutengeneza mfumo mpya wa mishahara ya watumishi wenye uwezo wa kuhuisha orodha ya mishahara kwa siku moja badala ya siku 14 na kuondoa watumishi wanaostaafu au kufariki ndani ya muda  na baada ya kuingizwa taarifa za kifo.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa