• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

TASAF yampongeza RC Mtaka,kwa kubuni mradi wa parachichi wa wanufaika wa TASAF Mkoa wa Njombe.

Tarehe iliyowekwa: February 23rd, 2023

Na. Lina Sanga

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF,Augustino Ngunde amempongeza Mkuu wa Mkoa wa Njombe,Mhe. Anthony Mtaka  kwa kuibua mradi wa parachichi kwa ajili ya wanufaika wa TASAF,kwani kupitia mradi huo changamoto za umasikini zitapungua.

Ngunde, ametoa kauli hiyo leo katika ziara ya Naibu Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,Mhe. Deogratius Ndejembi katika Halmashauri ya Mji Makambako ya kukagua utekelezaji wa miradi ya TASAF.

Amesema kuwa mradi wa parachichi kwa wanufaika wa TASAF ni mradi mpya na Serikali imekuwa isisitiza kutambuliwa kwa miradi hiyo  kama miradi mingine ya Serikali,hivyo Mkoa wa Njombe umeongeza nguvu katika kupiga vita Umasikini na Mikoa mingine ione namna inavyoweza kufanya ili kutokomeza umasikini.

Ameongeza kuwa endapo wanufaika wa TASAF watazingatia mradi huo changamoto za umasikini zitapungua kwani utasaidia kwa kipindi kirefu,hivyo ni wajibu wa kila mtu kuunga mkono juhudi za viongozi wa Mkoa katika kufanikisha mradi huo.

Aidha,amewapongeza wananchi wa Mtaa wa Magongo kwa ushiriki wao katika utekelezaji wa ujenzi wa madarasa katika shule ya Msingi shikizi ya Magongo na kukamilisha mradi kwa haraka.

Zaidi ya Mil. 134 za TASAF kwa mwaka wa fedha 2021/2022,zilitumika kujenga vyumba 5 vya madarasa na ofisi moja,matundu 12 ya vyoo vya wanafunzi na walimu katika  Shule ya msingi shikizi ya Magongo, ambayo imepunguza msongamano wa wanafunzi katika shule ya Msingi Juhudi iliyokuwa ina wanafunzi zaidi ya 1,000 na ina jumla ya wanafunzi 124 wa darasa la awali hadi la sita kwa sasa.

Matangazo

  • Kuitwa Kwenye Usaili septemba,2025 September 04, 2025
  • Tangazo la kazi 2024 March 11, 2024
  • Mkutano wa uhamasishaji zoezi la urasimishaji Kata ya Kitisi na Majengo juni 27 - 29,2024 May 28, 2024
  • Mkutano wa uhamasishaji zoezi la urasimishaji Kata ya Mjimwema May 28, 2024
  • Fungua

Habari Mpya

  • Mil. 350.8 za Mikopo ya 10% zimetolewa kwa vikundi 30 Halmashauri ya Mji Makambako,DC aagiza mikopo hiyo kuwa chanzo cha utajiri.

    August 14, 2025
  • MIL 350.8 ZA MIKOPO YA 10% ZATOLEWA KWA AWAMU YA PILI KWA MWAKA 2024/2025.

    August 01, 2025
  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa