• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Tukusanye Mapato kwa Maendeleo ya Halmashauri yetu

Tarehe iliyowekwa: July 12th, 2022

Na. Lina Sanga

Mwenyekiti wa Kamati ya Mapato ya Halmashauri ya Mji Makambako (Task force), Carlos Mhenga ametoa wito kwa Watendaji wa Kata,Mitaa na Vijiji kusimamia na kukusanya mapato katika maeneo yao ya kazi kwa maendeleo ya Halmashauri.

Mhenga ametoa rai hiyo alipokua akizungumza na wajumbe wa Kamati ya Mapato ya Halmashauri pamoja na Watendaji  Kata,Mitaa na Vijiji wa Halmashauri ya Mji Makambako katika kikao kazi cha ukusanyaji mapato,kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri leo.

Ajenda kuu za kikao hicho ni namna ya ukusanyaji  wa mapato ya Halmashauri kwa kujadili changamoto mbalimbali za zoezi la ukusanyaji Mapato na kuzitafutia ufumbuzi,kwa maslahi ya walipaji(Wananchi) na Mkusanyaji(Serikali!), hususani  katika chanzo cha ada ya taka na malipo ya vibali vya Ujenzi.

Amesema kuwa baadhi ya wananchi wanafanya ujenzi bila kibali cha ujenzi ambapo ni kinyume cha utaratibu,hivyo kila Mtendaji katika mtaa wake ahakikishe hakuna ujenzi holela na wananchi wapewe elimu juu ya umuhimu wa kibali cha ujenzi,timu ya mapato ipo tayari kupokea changamoto mbalimbali zinazowakabili wananchi na ipo tayari kuhakikisha kila Mjenzi anapata kibali kwa wakati ili kuondoa ujenzi holela.

Mhenga,amesema kuwa mapato yanayokusanywa ndiyo yanayotumika kutekeleza shughuli mbalimbali za maendeleo za Halmashauri kama ujenzi wa madarasa,zahanati na vituo vya afya na kuhakikisha wananchi wanapata huduma zote muhimu.

Ametoa wito kwa wananchi wote kuhakikisha wanafuata taratibu za ujenzi kwa kulipia vibali vya ujenzi lakini pia kulipa ushuru wa Halmashauri kama ada ya taka ili kutunza  Mji katika hali ya  usafi,Kulipia leseni za biashara,kibali cha matangazo na sherehe,ushuru wa mazao ya chakula na misitu,kodi ya huduma,ushuru wa Madini na kuchangia shughuli za maendeleo katika Kata,Mitaa na Vijiji.

#LipakodinaushuruwaHalmashaurikwamaendeleoyaMjiwaMakambako

#Makambakompyainajengwanasisiwenyewe

#Jiandaekuhesabiwa2022

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa