• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Ufunguzi wa maonyesho ya utalii karibu kusini 2022 wafanyika leo,watanzania waagizwa kudhibiti majanga ya moto.

Tarehe iliyowekwa: November 9th, 2022

Na. Lina Sanga

Iringa

Watanzania wametakiwa kuungana na kukumbushana kuhusu uchomaji moto kiholela hasa nyakati za uandaaji mashamba,kwa kutafuta  njia mbadala za kuandaa  mashamba badala ya moto ili kutunza na kuhifadhi vivutio vya utalii pamoja na misitu.

Rai hiyo imetolewa leo na Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe Dkt.Pindi Chana(Mb) katika ufunguzi wa maonyesho ya utalii karibu kusini 2022, yanayofanyika Mkoani Iringa.

Mhe. Chana amesema kuwa Moto ni changamoto kubwa sana katika uhifadhi wa misitu na vivutio vya utalii kwani unasababisha uharibifu mkubwa kwa muda mfupi,na kuwataka watanzania wote kushiriki kudhibiti hasara za moto kwa kuacha kuchoma mashamba ovyo.

Amesema kuwa Serikali inatumia gharama kuvitangaza vivutio vya utalii ili kuzalisha ajira kwa watanzania na kuongeza pato la taifa,hivyo ni wajibu wa kila mwananchi kuwa mlinzi wa mwenzake juu ya matumizi holela ya moto mashambani kwa maslahi ya umma.

Pia ametoa wito kwa wananchi kuhifadhi mazingira na kutunza vyanzo vya maji ili kukabiliana na ukosefu wa maji kwa kutopitisha mifugo kwenye vyanzo hivyo na kufanya shughuli za kibinadamu ikiwamo kilimo na kuilinda misitu kuepusha jangwa kwa kudhibiti moto.

Aidha Mhe. Chana  amesema zaidi ya bil. 12 zitatumika kujenga kituo cha kutolea taarifa za utalii mikoa ya kusini katika eneo la maonyesho la utalii karibu kusini lililopo Kihese Kilolo,Mkoani Iringa kwani maonyesho hayo ni utekelezaji wa mikakati ya Serikali kufungua utalii Mikoa ya Kusini mwa Tanzania.

Ametoa wito kwa watanzania na wawekezaji wa nchi zingine kuwekeza katika mikoa ya Kusini kwa ujenzi wa hoteli zenye hadhi ya kimataifa,ujenzi wa kambi kwa kutumia hema na huduma nyingine muhimu kama chakula cha asili ili kuwavutia watalii na kukuza uchumi wa mwananchi mmoja mmoja na taifa kwa ujumla.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa