• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na maliasili
      • Raslimali watu na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Usafi na mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Ujenzi na Uokoaji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Sekondari
      • Kilimo, Ushirika na umwagiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
    • Vitengo
      • Sheria
      • ICT and Public relations
      • Ugavi na Manunuzi
      • Mkaguzi wa ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Huduma ya Elimu
    • Huduma ya Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyo kwenye Mpango
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Ripoti mbalimbali
    • Mikataba
    • Mpango Mkakati
    • Hatua
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari Mpya
    • Matukio
    • jarida la mji

Ujenzi holela Kitisi ni Kikwazo cha kufanya Matengenezo ya barabara za Mitaa.

Tarehe iliyowekwa: August 15th, 2023


Na. Lina Sanga 

Kauli hiyo imetolewa leo na Mbunge wa jimbo la Makambako,Mhe. Deo Kasenyenda Sanga katika Mtaa wa Lupila wakati akihutubia wananchi wa Mitaa ya Lupila,Kisingile na Kitisi ikiwa ni sehemu ya ziara ya Mbunge katika Mitaa na Vijiji ndani ya jimbo la Makambako.

Mhe. Sanga amesema kuwa,ipo haja ya wananchi kuambiwa ukweli kwani Mitaa katika Kata ya Kitisi,barabara hazipitiki wala hazifanyiwi matengenezo mara kwa mara kutokana na ujenzi holela  katika Kata hiyo na Serikali inatengeneza barabara sehemu zinazopitika.

Sikitu Pella,Mhandisi wa Wakala wa barabara Mijini na Vijijini  (TARURA) Makambako,amesema kuwa nyumba nyingi za Mitaa katika Kata ya Kitisi zimesogea barabarani na kuwa kikwazo cha kupitisha mitambo mizito  kwa ajili ya matengenezo kwani hata ikipitishwa inaweza kusababisha nyufa kwenye nyumba na wananchi wataanza kudai fidia,hivyo kwa sasa wananchi wawe tayari kukubaliana na matokeo endapo nyumba zao zitapata athari wakati mitambo ikipitishwa wasidai fidia.

Moja kati ya barabara katika Mtaa wa Lupila

Ametoa wito kwa wananchi wa Kata ya Kitisi na Kata zingine kuhakikisha barabara zinapitika kwa kutojenga kiholela bila kufata mpangalio,ili zifanyiwe matengenezo kwa kadri fedha zinavyopatikana.


Pia, ametoa rai kwa wananchi kutunza miundombinu inayotengenezwa, hususani mifereji inayosaidia kupunguza maji barabarani kutokana na miteremko mikali kwani kuziba mifereji kunasababisha maji kukata barabara.

Katika mwaka wa fedha 2023/2024 TARURA itafanya matengenezo ya kawaida katika baadhi ya barabara katika Mitaa ya Kata ya Kitisi ikiwa ni pamoja na barabara ya Kambo -Kahawa,Mwembetogwa -Ngwale,Soko la mbao -Goligotha,Soko la Kimataifa ,Mwendamseke- Goligotha,Kitisi Makaburini-Kigala na ujenzi wa daraja linalounganisha barabara ya DS na A one Lodge.

Matangazo

  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 13 April 19, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 12. April 20, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 11. April 21, 2025
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru 2025, bado siku 10. April 22, 2025
  • Fungua

Habari Mpya

  • Wataalamu na viongozi watakiwa kusimamia upatikanaji na utoaji wa huduma za chanjo.

    April 25, 2025
  • Makambako yang'ara katika tuzo za Afya ya Usafi wa Mazingira ngazi ya Halmashauri za Miji.

    April 09, 2025
  • Jumla ya Miti 15,000 kupandwa Halmashauri ya Mji Makambako kuelekea siku ya Miti duniani mwaka 2025.

    March 15, 2025
  • Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2025 Mkoa wa Njombe, Mila kandamizi zaelezwa kuwa kikwazo cha ustawi na uwezeshaji

    March 09, 2025
  • Fungua

Video

Shule mpya ya Mbugani Kitandililo sekondari kupitia mradi wa SEQUIP
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Fursa za Usafirishaji
  • Orodha ya Madiwani
  • Uzalishaji wa Umeme wa Upepo
  • Organisation Structure
  • Fursa za Biashara
  • By Laws
  • Permanent Committee

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Ikulu ya Rais
  • Tovuti ya Ofisi ya Utumishi
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Open Data Tanzania

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Makambako Town Council

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako

    Simu ya mezani: 026-2730044

    Simu ya Kiganjani: 0785635383

    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa